Magufuli Awaacha Hoi Viongozi Msibani kuhusu atakapozikwa Mwinyi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amesema kuwa Serikali ilikwishatenga eneo la maziko kwa Viongozi Wakuu wa Serikali watakaofariki, ambapo watazikwa Dodoma, kwa kuwa ndiko yaliko Makao Makuu ya Nchi. “Kuna wakati Serikali ilipanga mahali pa maziko kwa viongozi na tulipangiwa kuwa tunazikwa Dodoma, Mzee Mkapa akaniuliza mlipanga maziko yawe Dodoma, mimi msinizike Dodoma nikasema wewe unataka wakuzike wapi akasema Lupaso” Rais Magufili Mzee Kikwete akasema Msoga, nikaogopa kumuuliza Mzee Mwinyi kwa sababu alikuwa na miaka zaidi ya 90 na mimi nilisema nitazikwa Chato” Rais Magufuli “Mkapa alipenda kwao, kwenye hili Watanzania tujifunze, Mzee Mkapa angeweza kuzikwa DSM au Lushoto, lakini ndani ya dhamira yake alitaka azikwe mahali alipozaliwa” Rais Magufuli Subscribes: / kidanistars HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: / kidanistars Facebook: / kidanistars Twitter: / kidanistars Subscribes: / kidanistars

HISTORIA YA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR DKT.HUSSEIN MWINYI|KUZALIWA,ELIMU,UONGOZI Part 1

MZEE MWINYI KALAZWA, RAIS MAGUFULI NA FAMILIA WAMFANYIA DUA

PAPA SAVA EP1461:NYOKOBUKWE W'UMUCUYI! BY NIYITEGEKA Gratien(Rwandan Comedy)

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

🔴 KIPIMA JOTO: MIAKA 30 YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA- TRA JE NINI MAFANIKIO NA CHANGAMOTO..?

MTOTO WA MSTAAFU MZEE MWINYI, ASMA AAMUA KUWAFANYIA JAMBO HILI ZANZIBAR

Paradoksi, fiton gjyqet por pronë s’ka më – “Shihemi në Gjyq” – E diela Shqiptare (28 Qershor 2026)

Mtolea: Nimejiuzulu Ubunge Cuf, Nimetishwa Kufukuzwa na Lipumba

Souparnika: 10-Year-Old Indian Girl STOPPED Mid-Song by Simon!

Magufuli, Mwinyi, Kikwete Wakiweka Mashada Kwenye Kaburi La Hayati Mkapa

Nusja me shkollë - Episodi 64 (Tregim Popullor)

BREAKING: Kenyans Reject Ndindi Nyoro's apology

🔴MEZA HURU: NAFASI YA MWANAFUNZI NA JUKUMU LA KUJITAMBUA - JUNI 23, 2026

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

🔴#LIVE: MAJIBU MAZITO YA MAWAZIRI MJADALA WA MASWALI NA MAJIBU BARAZA LA WAWAKILISHI

President Obama Addresses the British Parliament

RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI

IBADA YA JUMAPILI 28/06/2026

RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

