Alichokisema Ridhiwani Kikwete Kwenye Mazishi ya Mzee Chifupa

KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kapteni Hamisi Chifupa ambaye alikuwa baba wa aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa (Vijana) wa chama hicho, Amina Chifupa leo alizikwa kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar. Mzee Chifupa alikutwa na umauti Ijumaa iliyopita majira ya saa mbili usiku baada ya kupatwa na ugonjwa wa kiharusi uliopelekea kifo chake. Mazishi ya kada huyo yalihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Mbunge wa Chalinze (CCM) Ridhiwan Kikwete na Naibu Katibu Mkuu CCM (Bara) Philip Mangula. Katika mazishi hayo mjukuu wa marehemu huyo Rahmanino Mpakanjia aliwatia simanzi waombolezaji kwa jinsi alivyokuwa akilia katika hatua mbalimbali za mazishi hayo hasa mwili huo ulipokuwa ukifukiwa.

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....
▶︎

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

Mazishi ya Baba Mkwe Wa Kikwete Yawakutanisha Viongozi MbaliMbali Wa Vyama Tofauti
▶︎

Mazishi ya Baba Mkwe Wa Kikwete Yawakutanisha Viongozi MbaliMbali Wa Vyama Tofauti

RIDHIWANI KIKWETE ATOA NENO WAKATI WA MAZISHI YA BIBI YAKE.
▶︎

RIDHIWANI KIKWETE ATOA NENO WAKATI WA MAZISHI YA BIBI YAKE.

Mbowe aliposhiriki msiba wa mama yake mdogo Rais Mstaafu J.Kikwete
▶︎

Mbowe aliposhiriki msiba wa mama yake mdogo Rais Mstaafu J.Kikwete

HABARI - JUNE.26.2015 | AZAM TV
▶︎

HABARI - JUNE.26.2015 | AZAM TV

MTOTO wa CHIFUPA - "WALINIAMBIA MAMA AMEUAWA, ALITAKA KUTAJA WAUZA MADAWA ya KULEVYA"
▶︎

MTOTO wa CHIFUPA - "WALINIAMBIA MAMA AMEUAWA, ALITAKA KUTAJA WAUZA MADAWA ya KULEVYA"

🔴#LIVE: MAPYA KESI ya LISSU KUPIGWA KALENDA /TAMU - CHUNGU BAJETI KUU LEO/WAZIRI AKANUSHA KAULI YAKE
▶︎

🔴#LIVE: MAPYA KESI ya LISSU KUPIGWA KALENDA /TAMU - CHUNGU BAJETI KUU LEO/WAZIRI AKANUSHA KAULI YAKE

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU |  ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.
▶︎

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

RAIS SAMIA AMTUMA MTOTO WAKE KWENDA KWA MWIMBAJI MWANAHAWA ALI, "NIMETUMWA NA MAMA, MILIONI 10 HII"
▶︎

RAIS SAMIA AMTUMA MTOTO WAKE KWENDA KWA MWIMBAJI MWANAHAWA ALI, "NIMETUMWA NA MAMA, MILIONI 10 HII"

Shakira and Burna Boy perform Dai Dai at FIFA World Cup 2026 Opening Match!
▶︎

Shakira and Burna Boy perform Dai Dai at FIFA World Cup 2026 Opening Match!

MAHOJIANO KUTOKA CHINA: KAKA wa MCHINA ALIYEUAWA AZUNGUMZA kwa MARA ya KWANZA WAMASAI WALIOKAMATWA..
▶︎

MAHOJIANO KUTOKA CHINA: KAKA wa MCHINA ALIYEUAWA AZUNGUMZA kwa MARA ya KWANZA WAMASAI WALIOKAMATWA..

MSEMAJI wa FAMILIA ATOA RATIBA NZIMA ya MAZIKO ya MZEE ONYANGO - ''ATAZIKWA MAKABURI ya KONDO''...
▶︎

MSEMAJI wa FAMILIA ATOA RATIBA NZIMA ya MAZIKO ya MZEE ONYANGO - ''ATAZIKWA MAKABURI ya KONDO''...

ALLY HAPI AMSHUKIA HECHE - "NI MBUMBUMBU wa SHERIA - HAKUPASWA KUWA MBUNGE"...
▶︎

ALLY HAPI AMSHUKIA HECHE - "NI MBUMBUMBU wa SHERIA - HAKUPASWA KUWA MBUNGE"...

RAY C ALIPOKWENDA KUMSHUKURU  RAIS KIKWETE IKULU
▶︎

RAY C ALIPOKWENDA KUMSHUKURU RAIS KIKWETE IKULU

MTOTO WA AMINA CHIFUPA;HUWA NAPERUZI MITANDAONI KUSOMA HABARI ZA MAMA YANGU
▶︎

MTOTO WA AMINA CHIFUPA;HUWA NAPERUZI MITANDAONI KUSOMA HABARI ZA MAMA YANGU

MABADILIKO YA TOZO BAJETI KUU YA 2026, WAZIRI WA FEDHA ATANGAZA TOZO ZILIZOFUTWA / KUPUNGUZWA
▶︎

MABADILIKO YA TOZO BAJETI KUU YA 2026, WAZIRI WA FEDHA ATANGAZA TOZO ZILIZOFUTWA / KUPUNGUZWA

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI
▶︎

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

MTOTO wa AMINA CHIFUPA AFIKA na GARI la MAMA'AKE KWENYE MAHAFALI ya KUHITIMU CHUO - AFUNGUKA....
▶︎

MTOTO wa AMINA CHIFUPA AFIKA na GARI la MAMA'AKE KWENYE MAHAFALI ya KUHITIMU CHUO - AFUNGUKA....

'Frustration': Trump keeps promising Iran deal and getting zero results
▶︎

'Frustration': Trump keeps promising Iran deal and getting zero results

Mfanyakazi wa Dida afunguka, alikuja Dukani akilalamika anaumwa tumbo, sikuwa namchukulia kama Boss
▶︎

Mfanyakazi wa Dida afunguka, alikuja Dukani akilalamika anaumwa tumbo, sikuwa namchukulia kama Boss