MKATABA WA UJENZI WA BARABARA MLANDIZI- KITUO CHA SGR RUVU UMESAINIWA, UTAGHARIMU BILIONI 60.25
Meneja wa Tanroads Mkoa wa Pwani Baraka Mwambage, amewatoa hofu Wananchi wa Mlandizi kwani tayari mkataba wa ujenzi wa barabara ya Mlandizi kuelekea kituo cha reli ya Mwendokasi ( SGR) Ruvu Station wenye thamani ya Tsh. Bilioni 60.25 umesainiwa. Hayo ameyasema leo wakati wa utiaji saini wa mkataba huo ambapo amesisitiza kuwa mkataba huo utahusisha ujenzi wa barabara hiyo kwa urefu wa Kilomita 23 kwa kiwango cha lami na maeneo ya njia ya magari haitapungua mitaa 6.5 ambapo mitaa 3.25 kila upande wa magari huku maeneo ya miji na yenye kona upana wa barabara huwa unaongezeka ambao hufikia mita 11. Aidha pia Meneja amesema Mradi huo pia utahusisha uwekezaji wa taa kadri ya uhitaji katika eneo la Mlandizi Mjini unapoelekea kituo cha reli Ruvu Station na uwekaji wa taa hizo lakini pia ujenzi huo utahusisha madaraja ambayo kwa mtindo wa barabara hiyo na usanifu wake hayatapungua madaraja manne. Naye Mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo Golamudivet Prudhuit Raj, amesema kuwa ataanza kazi maramoja na anaimani atakamilisha kazi kwa muda uliopangwa.

MFANYABIASHARA CHAMBULO WA MAGARI ZAIDI YA MIA, AIBANA SERIKALI, BADALA YA KUTUSAIDIA MNATUDIDIMIZA

#TBC1: WEKEZA TANZANIA: SHUHUDIA KONGANI MPYA YA VIWANDA 202 ILIYOPO MLANDIZI

KIJANA MDOGO BILIONEA, ANA MALORI 100, AMEAJIRI WATU 200, KUTOKA UFAGIAJI HOSPITALI MPAKA UBILIONEA

VIDEO ILIYO-TREND WATANGANYIKA KUFUKUZWA MAHOTELINI ZNZ, KIONGOZI MUHUSIKA AKEMEA UBAGUZI

TANROADS WAFUNGUKA UJENZI WA BARABARA YA KIBAHA-MOROGORO JINSI ITAKAVYOKUWA INALIPA

BARABARA za KULIPIA - EXPRESS WAY KUTENGENEZWA KUANZIA KIBAHA MPAKA CHALINZE - TANROADS WAFUNGUKA...

KIKWETE ASIMULIA SWALI ALILOULIZWA NA MJUKUU WAKE "KWANINI MAGUFULI KACHUKUA KAZI YAKO?"

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

HISTORIA YAANDIKWA BARABARA YA KWENDA HIFADHI YA RUAHA - ZAIDI YA BILLION 142 KUKAMILISHA MRADI HUO

MDEE AWAKA - ''USINIPOTEZEE MUDA - BARABARA KM 1 UNAPIGA MAKOFI HOYEEE - PESA AMEKAA NAZO MWIGULU''

OPARESHENI ONDOA VISPIKA KWENYE MASOKO DAR GUMZO KWA WAFANYABIASHARA, DC AFAFANUA "NI MARUFUKU"

WACHUUZI RUVU DARAJANI MKOA WA PWANI WANA JAMBO LAO KWA SERIKALI

VIDEO: ATIWA MBARONI na TRA kwa UTAKATISHAJI FEDHA ZAIDI ya MILIONI 924 MWANZA...

CHALINZE KUWA MJI WA KISASA

ADAIWA KUMUUA KAKA YAKE KWA KUMCHOMA KISU KISA KUKOSA UMEME NYUMBANI

UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA ASILIMIA 45

CHEKECHE | Bunge la Marekani linamuweka njia panda rais Trump?

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

