Ee Bwana Mungu Mkuu – Reformation 2025

Wimbo wa “Ee Bwana Mungu Mkuu” ulioimbwa na MSEWE LUTHERAN CHURCH CHOIR, kwenye mashindano ya Reformation mwaka 2025 na kuchukua Ushindi wa Kwanza ngazi ya Dayosisi. Tunamshukuru Mungu kwa neema na mafanikio haya, pamoja na viongozi, waimbaji na wadau wote waliotuunga mkono. #EeBwanaMunguMkuu #Reformation2025 #MseweLutheranChurchChoir #UshindiWaKwanza #Dayosisi #LutheranChoir #GospelChoir