Jinsi Zanzibar ilivyolazimika kuingia kwenye MUUNGANO kwa presha ya Tanganyika
Katika video hii Ismail Jussa, mwanasiasa na mchambuzi wa masuala ya siasa Zanzibar anachambua jinsi Sheikh Abeid Karume aliyekuwa Rais wa Zanzibar alivyolazimika kuingia katika muungano na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao leo una changamoto na malalamiko lukuki. Kinpindi kamili kilirushwa kwenye chaneli ya Gumzo la Ghassani ambao ndiyo waandaaji wa kipindi hiki. Shukrani kwa Gumzo la Ghassani kwa kukubali tutumie video zao.

▶︎
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO

▶︎
HISTORIA Ya KARUME, Rais Aliyezawadiwa KIFO Kwa WEMA Wake!

▶︎
Ifahamu historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

▶︎
#EXCLUSSIVE: MZEE ENZI TALIB AIBUA MAZITO MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR...

▶︎
Hausemwi ila huu ndio Ukweli mchungu nyuma ya Mapinduzi ya Zanzibar

▶︎
WAZIRI KABUDI AFUNGUKA TUSIYOYAJUA KUHUSU MUUNGANO "NI MATOKEO YA UBEBERU, SULTAN ALILIPWA"

▶︎
In the Name of the President: Kitabu cha Mateso ya Magufuli | GUMZO MAALUM na Erick Kabendera

▶︎
Mwakyembe Aeleza Msingi wa Muungano Tanganyika na Zanzibar, Historia na Kukosoa Upotoshaji Uliyopo

▶︎
Jussa: Msingi wa Muungano ni ukoloni wa Tanganyika dhidi ya Zanzibar

▶︎
Othman Masoud: Hofu ya wa Zanzibar kuhusu katiba mpya sio ya bure ni hofu halali ni hofu ya haki

▶︎
HISTORIA YA ZANZIBAR 1804 - 1964

▶︎
Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version

▶︎
MAREHEM MAALIMU SEIFU ALIFUNGUKA MAZITO KUHUSU HAYYAT NYERERE NA MUUNGANO

▶︎
Fahamu Usiyoyajua Kuhusu Mkoa wa Tanga | Sehemu ya Pili | Zamadamu Tanzania

▶︎
#Katiba Bungeni: Warioba aibua mjadala wa serikali tatu

▶︎
Maisha ya ukwasi ya Sultan wa kwanza Zanzibar

▶︎
#TBC: MIVIGA AFRIKA| MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

▶︎
"አጼ ኃይለሥላሴን የገደላቸው ዳንኤል አስፋው ነው" ሻ/ል ተስፋዬ ርስቴ | በደርግ ዘመን የደኅንነት መ/ቤት የሕግ መምሪያ ኃላፊ

▶︎
TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

▶︎
