E’YESU mshindaji wa Golgotha
1. E’ Yesus, Mshindaji wa Golgotha, twakusifu! Bendera ya mapenzi ni Alama ya Kushinda. Ulichukua dhambi zetu juu ya msalaba wako. Twakuhimidi, Bwana na Mfalme! Haleluya! 2. Twashinda na zaidi ya Kushinda Kati’ yote Kwa damu yako, Yesu, na Watuinua moyo . Katika vita na ‘jaribu Twaipeleka kwa Furaha Bendera yako nzuri ya Kushinda kati’ vita. 3. Mbinguni Mkombozi ni Mkuu mwenye sifa. Aliondoa dhambi kwa Kutufilia wote. Mwana-Kondoo wake Mungu, Umestahili kupokea Uweza, utukufu na Heshima. Heleluya!

▶︎
MWENYEZI amejenga mji

▶︎
INATUSHINDA KUFAHAMU

▶︎
URGENT 🚨 FÉLIX TSHISEKEDI CALLS JOSEPH KABILA A DOG FROM THE UNITED STATES

▶︎
WAMEUACHA UISLAM WAMEACHA MALI NA KUHAMA NCHI KWASABABU YA YESU

▶︎
NILIYE MSAFIRI CHANTÉ AU TABERNACLE CHRÉTIEN DE LUBUMBASHI

▶︎
E’YESU sitasahau uchungu wako ‘kubwa

▶︎
HISTORIA YA KILIMA CHA GOLGOTHA.

▶︎
EH YESU MUSHINDAJI

▶︎
E YESU MUSHINDADJI WA GOLGOTHA (N°1 NW)

▶︎
UWE NA UHAKIKA Ass Chrét de Goma Byahi 2024

▶︎
NITAOGOPA nini gizani duniani

▶︎
eh yesu mushindaji wa golgota

▶︎
E’YESU MSHINDAJI WA GOLGOTHA @ASSEMBLEECHRETIENNEDEGOMA @tlmusique @MUSIQUETABERNACLEDEKOLWE-uq9mb

▶︎
Alilipa Deni zangu | Swahili Worship Songs | Pendo Kuu | Mamajusi Choir | Non Stop Swahili Worship

▶︎
Nyimbo za Wokovu 154 E’ RAFIKI, SHAKA ZAKO ZIPELEKE KWAKE Tabernacle Chrétien de Lubumbashi

▶︎
JE, Tutaonana tena huko ng’ambo ya Yordan

▶︎
NA MIKOLO

▶︎
Ulinde roho na nafsi yangu (112 NW )

▶︎
Niwowe mugenga

▶︎
