E’YESU mshindaji wa Golgotha

1. E’ Yesus, Mshindaji wa Golgotha, twakusifu! Bendera ya mapenzi ni Alama ya Kushinda. Ulichukua dhambi zetu juu ya msalaba wako. Twakuhimidi, Bwana na Mfalme! Haleluya!   2. Twashinda na zaidi ya Kushinda Kati’ yote Kwa damu yako, Yesu, na Watuinua moyo . Katika vita na ‘jaribu Twaipeleka kwa Furaha Bendera yako nzuri ya Kushinda kati’ vita.   3. Mbinguni Mkombozi ni Mkuu mwenye sifa. Aliondoa dhambi kwa Kutufilia wote. Mwana-Kondoo wake Mungu, Umestahili kupokea Uweza, utukufu na Heshima. Heleluya!