SAKATA LA MGOMBEA URAIS ACT- WAZALENDO KUKATALIWA KUGOMBEA WAO WASEMA HAYA
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban amesema chama hicho hakiwezi kuteua mgombea mwingine zaidi ya Luhaga Mpina kuwanaia urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Shaaban amesema hayo leo Jumatano, Agosti 27, 2025 makao mkuu ya chama hicho, alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la Mpina kuenguliwa katika na Msajili wa Vyama vya Siasa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Mzizi wa yote hayo ni hatua ya Monalisa kukiandikia chama chake, kisha Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi akipinga uteuzi wa Mpina, kwa kurejea kifungu cha 16(4)i, iii na iv, cha Kanuni za Kudumu za Uendeshaji Chama toleo la mwaka 2015. Kwa mujibu wa kifungu cha 16(4)(i) “Wagombea wa urais/viongozi wa chama katika ngazi ya Taifa. Awe mwanachama wa ACT-Wazalendo kwa muda usiopungua mwezi mmoja kabla ya tarehe ya mwisho ya uteuzi ya wagombea wa chama." Aidha kifungu cha 16(4)(ii), kinasema wagombea urais/viongozi wa chama ngazi ya Taifa, “Awe mwanachama wa ACT-Wazalendo kwa muda usiopungua mwezi mmoja kabla ya tarehe ya mwisho ya uteuzi ya mgombea wa chama.” 16(4)(iii) inasema, “Awe tayari kutangaza mali binafsi na vyanzo vyake kabla ya kuteuliwa kugombea kwa kufuata utaratatibu ulioainishwa katika sehemu ya VI ya nyongeza ya Katiba ya ACT-Wazalendo. 16(4)(iv) “awe ni mtu aliyethibitika kuielewa itikadi, falsafa, misingi na sera za ACT-Wazalendo na aonyeshe utayari wa kuisimamia na kuiishi.” Katika barua yake, Monalisa alidai Mpina anakosa sifa zote hizo, kwani alijiunga na chama hicho, Agosti 5 na Agosti 6, mkutano mkuu ukampitisha kuwa mgombea wa urais.

MSIGWA: NILIVYOZIFANYA GWANDA ZA CHADEMA, NGUO ZA CCM ITABAKI ...

LIVE🔴: MAELFU WAFURIKA MAPOKEZI YA WAGOMBEA URAIS WA ACT - WAZALENDO - PEMBA

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

JAMBO ZITO ALILOSEMA GWAJIMA LEO,MOTO UMEWAKA POLEPOLE KUONGEA HAYO

SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

Wananchi Vijibweni waibua kero za barabara, shule na migogoro ya ardhi mbele ya Chalamila

17 kuwania urais Tanzania, lakini Luhaga Mpina atemwa nje, katika Dira ya Dunia TV

TAZAMA MAKONDA AKIMKUMBATIA MKEWE MBELE YA WANANCHI BAADA YA KUCHUKUA FOMU KAMA YA GAMBO

I left a life of luxury in America, only to come and live in isolation in Kenya | Tuko TV

WAZIR KITWANA Alivyomjibu MHe, SIMAI ATUMIA DAKIKA 8 KUMUELEWESHA

MWANAMKE ALIYE MTEKA MTOTO SHULENI NA KUTAKA ALIPWE MILIONI 20,AKAMATWA NA MTOTO TABORA

LIVE: MAPYA ACT WAZALENDO MGOMBEA URAIS KUTANGAZWA LEO

MPASUKO ACT WAZALENDO/SEMU ALIJIANDAA URAIS/VIONGOZI ACT WANATUMIKA

Gachagua lands in Kisumu, MOCKS Ruto "Alikuja Kupika Samaki huku!" Crowds ERUPT

SAKATA LA MPINA MAAMUZI TUME YA UCHAGUZI | ACT WAJIBU MAPIGO

LAZIMA MPINA AONDOLEWE ASIGOMBEE URAIS | MPINA ANA HASIRA ATATUVURUGA-MONALISA NDALA MWENEZI ACT

BREAKING: DR Congo Arrive in Houston for World Cup 2026 | Fans Give Hero's Welcome | AD1Z

#LIVE 🔴UFUNGUZI WA KAMPENI KISIWANI PEMBA CHAMA CHA ACT WAZALENDO OMO,JUSSA KUZUNGUMZA JAMBO

OPPOSITION RALLY BLOCKED? : Gachagua's Brutal Message to Ruto as Kakamega Showdown Explained

