KIBITI WAJIVUNIA MBUNGE WAO UNGANDO

KIBITI WAJIVUNIA MBUNGE WAO UNGANDO Na Omary Mngindo, Kibiti Des 13 WAKAZI katika Jimbo la Kibiti Mkoa wa Pwani wananufaika Mbunge wao Ally Seif Ungando kutokana na kazi kubwa ya kuwatumikia wananchi Jimboni humo. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi wilaya ya Rufiji Nurdin Ugama, alipokuwa anazungumza wakati anafungua Kongamano la siku moja lililoandaliwa na Jumuia hiyo, chini ya Mgeni rasmi Jackson Josian aliyeambatana na Katibu Juma Gama. MSIKILIZE KWA UFUPI UGAMA ANAVYOSEMA