🔵ADO SHAIBU AIKOSOA VIKALI HOTUBA YA WAZIRI MKUU
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amekosoa vikali hotuba ya Waziri Mkuu aliyoitoa jana, akidai imewakosea Watanzania na kudhoofisha uwajibikaji katika kushughulikia matukio ya utekaji. Akizungumza leo Mei 24, 2026 jijini Dodoma mbele ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao ni wanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema kauli ya Waziri Mkuu kwamba matukio ya utekaji “sio halisi bali yanatengenezwa kuiharibia sifa Serikali” ni kosa kubwa linaloweza kuyafanya vyombo vya ulinzi na usalama kutochukua hatua stahiki. Amedai pia kuwa kosa la pili katika hotuba hiyo ni kutaka taifa lisahau yaliyotokea Oktoba 29, 2025 wakati wa Uchaguzi Mkuu, akisisitiza kuwa haiwezekani kusahau bila waliohusika kuwajibika. Akitaja kosa la tatu, Mbunge huyo amesema Waziri Mkuu ametumia lugha zinazowagawa Watanzania kwa kurejesha maneno kama “vibaraka” na “wasaliti wa mabeberu”, akieleza kuwa msamiati huo unawachonganisha wananchi wanaoikosoa serikali dhidi ya vitendo vya utekaji na rushwa. "Hizi ni lugha za kuwagawa watu, kwamba sisi tunaoikabili Serikali dhidi ya utekaji na rushwa tuonekane kuwa ni vibaraka na wasaliti. Hizo ni lugha za kutugawa Watanzania," amesema.

🅻🅸🆅🅴:HECHE AITIKISA TUNDUMA MKUTANO WA HADHARA WA CHADEMA

MWILI WA MAREHEMU SACP RICHARD G. ABWAO KUWASILI NYUMBANI KWAO MKOANI MARA WILAYA YA RORYA

NANI ANATAKA KUVUNJA MUUNGANO? MSIUE NCHI INAYOITWA JAMHURI YA MUUNGANO, HAKUNA TAIFA LINAITWA BARA

ADO SHAIBU APEWE ULINZI "SIOGOPI CHOCHOTE" amtaja Tundu Lissu BILA HOFU!

HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA

VIONGOZI WANAODAI KATIBA MPYA NI UBINAFSI, WENYE HAKI YA KUKOSOA NI TULIOSHIRIKI UCHAGUZI- DOYO

🔵MVOMERO IMEITIKA,LEMA ASEPA NA KIJIJI MKUTANO WA HADHARA

Zanzibar Ministers must stop using the Union as an excuse for intimidation – ACT

WAZIRI MKUU:WAKAMATENI WOTE ,WASIMAMISHWE KAZI MPAKA WATAKAPO LIPA ZAIDI YA MILIONI 500 WALIZO IBA

M/KITI UVCCM ALIYESEMA TUKIWAPOTEZA, MSIWATAFUTE ABANWA NA CHIEF ODEMBA AJIKANYAGA

ICC ilipewa Taarifa; Zaidi ya Raia 3000 Waliuawa Tanzania Baada ya Uchaguzi ambao Samia Alishinda

GUMZO!! KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU KWA MAWAZIRI WALIOWABAGUA WATANGANYIKA YAIBUA UTATA BUNGENI

MKEWE Tundu Lissu Alia Na Kuishtaki Serikali Ya Samia Bunge La Ulaya

🔥Chaos as Rufai Defends Obi’s Call for Tinubu’s Resignation, Abati Fires Back in Heated Exchange

MPINA AZUA KIZAA ZAA, AKUTANA NA LISSU NA KUTETA JAMBO, AMTWANGA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA

Msaidizi wa Lissu afunguka mazito dhidi ya Wenje

🔵LEMA ACHAFUKWA AMUONYA SHEKHE MWAIPOPO"USILIGAWE TAIFA KWA UDINI"

🔵KATAMBI AWAJIBU WAPINZANI

MSIMAMO WA CUF KUHUSU MARIDHIANO, NAFASI YAO KWENYE SIASA NCHINI, MWENYEKITI WA CUF

