Juhudi mpya za EAC kupambana na waasi wa M23 zatoa matumaini
Vita vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kati ya jeshi la nchi hiyo na waasi wa M23 ni moja ya matukio mbaya yaliyojiri katika mwaka 2022. Waasi hao waliopigwa na kusambaratishwa kabisa mwaka 2012 walizuka tena na kuanza kuwapa taabu raia. Je, nini matokeo ya juhudi zinazofanyika kurejesha utulivu katika maeneo ya DRC, ikiwepo pia juhudi ya jumuiya ya Afrika Mashariki kuyakomboa maeneo ambayo yanakaliwa kwa mabavu na waasi hao. Sikiliza repoti kamili wakati tukihitimisha mwaka 2022... #vita #drc #jamhuriyakidemokrasiayacongo #jeshi #waasi #m23 #voa #voaswahili #dunianileo - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.

Inside M23 - the rebel militia now running eastern DR Congo

Waasi Wa M23 Wasalimu Amri

LIVE : HECHENA MCHUNGAJI MSIGWA WANAUWASHA MOTO IRINGA MJINI

Kundi la M23 latishia mji wa Goma

Mapigano yaendelea kati ya waasi wa M23 na wanajeshi wa jeshi la DRC FARDC huko Kibumba, DRC

JESHI LA TANZANIA LATOA TAMKO KUHUSU TETESI ZA KUMPINDUA RAIS SAMIA

Msako wa wanajeshi wa DRC dhidi ya maimai na makundi mengine ya waasi

MAHOJIANO MAALUM: ‘Hatusaidiwi na Rwanda,’ asema kiongozi wa M23 Corneille Nangaa

Jeshi la DRC laitaka Rwanda na waasi wa M23 kuondoka maeneo wanayokalia

MJUE SULTANI MAKENGA GENERALI wa M23 ANAYEPASUA VICHWA vya MARAIS AKIELEKEA KUICHUKUA KINSHASA...

Kinshasa yawataka M23 kujisalimisha

Makundi ya wapiganaji wazalendo DRC wapinga kupelekwa kwa vikosi vya AU

Mapigano ya M23 yamesababisha hali ya miasha klua magumu kwa maelfu ya wakazi wa mashariki ya Congo.

Waasi wa M23 waanza kuondoka DRC

War against the M23 rebels: A Rwandan soldier captured in Lubero

Will G7 summit reveal Trump as a 'reality TV' president?

Trump Front and Center for G7 Family Photo After Iran Deal Announcement

DRC: Waasi wa M23 wamekubali kuondoka Rumangabo

MTV WAZALENDO waendelea na mapigano mashariki mwa DRC .OCT 11

