Kiitikio Dominika ya 33 Mwaka B| Unilinde Ee Mungu Kwa Maana Nakimbilia Kwako| Zaburi 16

Unilinde, Ee Mungu, Kwa Maana Nakimbilia Kwako. *************************************** Bwana, Ndiwe Urithi Wangu Na Kikombe Changu, Ndiwe Uishikiliaye Hatima Yangu. Nimemweka Bwana Mbele Ya Macho Yangu Daima; Kwa Kuwa Yuko Kulia Kwangu, Sitatikisika. *************************************** Kwa Hiyo Moyo Wangu Unafurahi, / Roho Yangu Inashangilia; Mwili Wangu Utapumzika Salama, / Kwani Hutaiacha Nafsi Yangu Kuzimuni, / Wala Hutakubali Anayekuamini Aone Uharibifu. *************************************** Umenijulisha Njia Ya Uzima, Utimilifu Wa Furaha Mbele Ya Uso Wako, Na Raha Kulia Kwako Milele.