POLISI WALIVYODHIBITI MAJAMBAZI WALIOVAA MAGAUNI, VILEMBA MWANZA
Wanaume wawili wanaosadikiwa kuwa majambazi wenye silaha wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, baada ya kudaiwa kujaribu kutekeleza tukio la ujambazi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Januari 10, 2025 amesema wanaume hao ambao walivaa magauni na vilemba kuficha utambulisho wao, wameuawa usiku wa kuamkia leo. Amesema wakiwa wanne walifika yalipo makazi ya mfanyabiashara, Flora Abdallah (42) yaliyopo Mtaa wa Kabambo, Kata ya Kiseke wilayani Ilemela, mkoani Mwanza kisha kujaribu kuingia ndani kwa ajili ya kupora fedha. “Wanaume hao walikuwa wamevaa magauni na vilemba ili wasibainike kwa urahisi. Kwa hiyo, alipofunguliwa geti tu akiwa ndani ya gari lake, ghafla waliingia getini ndipo mfanyabiashara huyo alipokimbilia ndani,” amesema. “Wengine wawili waliokuwa nje (majina hayajatambulika) walipobaini kuwa maofisa wetu wameshafika eneo la tukio waliwasha pikipiki yao na kutokomea kusikojulikana msako kuwatafuta unaendelea,” amesema. Soma kwa undani katika Tovuti ya Mwananchi. (Imeandikwa na Mgongo Kaitira)

ASKALI POLICE ALIYE WASAIDIA MAJAMBAZI KUFANYA UHALIFU, ASIMULIA TUKIO ZIMA HADI KUFUKUZWA KAZI

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

Incredible Metal Magazine Manufacturing in Local Factory

Leo #MariaSpaces tunajadili: Maandalizi Maandamano 7/7 - mbinu za mafedhuli

DKT.SLAA AWA MBOGO WAZIRI MKUU ANATULETEA POROJO,AJIBU VIKALI KAULI YA MWIGULU KUELEKEA MAANDAMANO77

WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Majambazi Watatu Wauawa Mkoani Mwanza

JINSI POLISI WALIVYOHUKUMIWA KUNYONGWA kwa KUMUUA MFANYABIASHARA wa MADINI MTWARA - SINDANO YA SUMU

MAJAMBAZI WAVAMIA WAVUVI ZIWA TANGANYIKA WAPORA MALI ZAO WALIA NA POLISI, POLISI WAANZA UCHUNGUZI

Police Kill 4 Suspects, Rescue 5 Victims As War Against Kidnapping Leads To Lagos, Ogun Forest Raids

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

TANESCO- Serikali Wafunguka Sababu ya Hitilafu Iliyozima Umeme Nchi Nzima: Mitambo Ilijizima

POLISI MWANZA WALIVYODHIBITI MAJAMBAZI WALIOVAA MAGAUNI NA VILEMBA

Mke wa Mzee Yusuf asimulia alivyopambana na Majambazi 4 wenye bunduki na mapanga

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

I'M WARNING DCI & HAVE SUMMONED IG KANJA IN COURT! Babu Owino fumes in court over GenZ abductions

