BUGANDO YAMNASA DAKTARI FEKI.
GSENGOtv Walinzi katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) ya Jijini Mwanza wamemnasa mtu mmoja ambaye inadaiwa amekuwa akijifanya daktari na kujichumia fedha kwa kuwarubuni wagonjwa na watu wenye shida mbalimbali. Wauguzi na Madaktari walikuwa wakimfuatilia kwa muda mrefu wakishirikiana na walinzi wa hospitalini hapo, baada ya kupokea malalamiko ya mara kwa mara toka kwa wananchi wanaokimbilia hospitalini hapo kupata huduma ndipo JUZI Jumatano ya tarehe 3/september 2018) majira ya saa moja usiku, wakamnasa daktari huyo feki akiwa katika harakati zake za kufanya kinachodhaniwa kuwa ni utapeli. Joseph Samwel (26) alikamatwa kwenye viunga vya hospitali hiyo akiwa kwenye harakati za kujifanya mtoa huduma akiwa na sare zenye kufanana na watumishi hospitalini hapo. Lucy Mogele ni Afisa Uhusiano wa Hospitali ya Rufaa Bugando Mwanza naye anafunguka zaidi juu ya daktari huyu feki......

DAKTARI FEKI AKAMATWA KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO

Bugando ina Wagonjwa wa Afya ya akili 71 na 11 wanatafuta ndugu zao.

Huyu hapa 'Daktari Feki' amenaswa Bugando "Mimi sio daktari"

Daktari feki aliekamatwa Mwanza akiri "Tuliambiwa Bugando imechafuka, inanuka"

BUGANDO YAFANYA UPASUAJI MKUBWA AMBAO HAUJAWAHI KIUFANYA TANGU IANZISHWE

YOU Won’t Believe This 😱 Homeless 8 Years of Hair & Beard Transformation

THE HOUSEMAIDS AUDITION | MR MACARONI | MUMMY WA | PRETTY PLAY | TRINITY UGONABO | SOPHIE

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AMJULIA HALI DADA YAKE KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA

BMG TV: Mwanzo mwisho, nyumbani kwa Mfalme Zumaridi

WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

Ghetto Kids Bruno's First Golden Buzzer Full Performance | Britain's Got Talent 2023 Auditions WK 1

MAFANIKIO MIAKA 60 YA UHURU, Brigedia Jenerali Jackson Mwaseba, Mkuu wa Chuo TMA Monduli Aelezea Mip

Genius Invention by a 60-Year-Old Plumber! 7 Free Recycling Ideas from Plastic Mesh & Old PVC Pipes

Most Cheap Street food in Afghanistan | Kabuli pulao, Roasted Chicken, Biryani recipe, Punjabi Curry

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

Serikali yalifunga Kanisa la Mfalme Zumaridi "waumini Never Ever"

MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone

MATUKIO YOTE | HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961

