HALIMA MDEE Alivyotinga MAHAKAMANI Leo
HALIMA MDEE Alivyotinga MAHAKAMANI Leo MKUU wa Upelelezi Wilaya ya Ilala (RCO), Davis Msangi ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa hajawahi kumuhoji Rais Dkt. John Joseph Magufuli jinsi anavyojisikia kuhusu maneno yaliyotamkwa na mbunge wa Kawe Halima Mdee dhidi yake. Msangi ameyaeleza hayo leo mahakamani hapo wakati akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba alipokuwa akijibu swali la Wakili wa utetezi, Peter Kibatala. Katika kesi hiyo, Mdee anakabiliwa na shtaka la kutoa lugha ya uchochezi’ ‘Chafu’ kwa Rais Magufuli. Akimuhoji shahidi huyo, Wakili Kibatala alimuuliza Msangi kama anamfahamu Rais Magufuli na anaishi wapi. Ambapo alijibu kuwa anaishi Ikulu akamuuliza tena shahidi huyo kama aliwahi kwenda kumuhoji jinsi anavyojisikia kuhusu maneno yanayodaiwa kutamkwa na Mdee kwa sababu yeye ndiye muhanga. Msangi akijibu swali hilo aliieleza kwamba hajawahi kwenda kumuhoji wala hakutumia taratibu zozote za kumuhoji. Msangi akiendelea kueleza katika ushahidi wake amedai kuwa hafahamu msimamo wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusiana na kauli ya Rais Magufuli kuhusu watoto wa kike waliopata mimba shule wasirudishwe shule. Pia RCO Msangi alipoulizwa kwamba Mdee alikaa muda gani chini ya ulinzi, amedai kwamba siyo kwa zaidi ya Saa 48. Baada ya shahidi huyo kumaliza kuhojiwa na Wakili Kibatala, Hakimu Simba amesema kesi hiyo imetimiza mwaka mmoja na ilipaswa iwe ishatolewa hukumu, na hivyo akaiahirisha kesi hiyo hadi Agosti 7 mwaka huu ili kuendelea na ushahidi. Install GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

HALIMA MDEE AFUNGUKA MAZITO- “ NAZI -MISS HARAKATI za UPINZANI, MIMI ni CHADEMA WATAKE WASITAKE”

🔴#LIVE: GERSON MSIGWA ANAONGEA MUDA HUU MTUMBA - DODOMA

VIDEO: HALIMA MDEE NA ESTHER BULAYA WALIVYOKUTANA NA GODBLESS LEMA KANISANI KWA MCHUNGAJI KIMARO

HALIMA MDEE AMSHUKIA WAZIRI BASHUNGWA “KAFUMUE WIZARA ACHA KUCOPY NA KUPASTE, SINA SHIDA NA WEWE"

RAIS SAMIA NA HALIMA MDEE FULL VICHEKO HOSPITAL, AFIKA KUMTEMBELEA MAMA HALIMA MDEE

TANESCO WAFIKA KWENYE MITAMBO ya GRIDI ya TAIFA KUFUATIA UMEME KUKATIKA NCHI NZIMA - WAOMBA RADHI...

HALIMA MDEE afunguka - "NIPO SINGLE, SINA MTOTO, MAISHA NI MAISHA YANGU"

Mr Beans Zahnarztprobleme | Mr Bean Deutschland

MWANZO MWISHO SABAYA ALIVYOFIKISHWA MAHAKAMANI ARUSHA LEO

'Halima Mdee akamatwe na Polisi akiwa na pingu na aletwe Bungeni' -Spika Ndugai

MSIBANI KWA MAMA WA HALIMA MDEE, SPIKA TULIA AFIKA KUONGOZA MAZISHI...

SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA

Upelelezi wa kesi ya Halima Mdee wa kumtolea lugha ya matusi Magufuli umekamilika

KESI YA CHADEMA: HALIMA MDEE, ESTER BULAYA KUFUTIWA DHAMANA ? MAHAKAMA IMEPANGA HAYA

FULL VIDEO: MBUNGE HALIMA MDEE AKIOMBEWA NA ASKOFU HOSPITALINI BAADA KUFANYIWA UPASUAJI

Halima Mdee alivyofikishwa Mahakamani Kisutu leo

Shuhudia kelele zilivyotawala mahakamani Arusha baada ya Sabaya kupita

