''Wakenya Wananunua Asali Kwetu Anauza Ulaya,Wajinga ndio Waliwao'' Katavi ya Kwanza Ufugaji Nyuki

#NEWS Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amesema ipo haja ya Watanzania kujua thamani ya Asali inayozalishwa hapa Nchini kwa kuwa ni bora na Watu wa Nchi mbalimbali ikiwemo Kenya wanainunua Tanzania kwa bei ya chini na kuiuza Ulaya kwa bei ya juu. Pinda ameyasema hayo leo Mei 21,2022 katika kilele cha Maadhimkisho ya Siku ya Nyuki Duniani yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Katavi katika Uwanja wa Azimio Manispaa ya Mpanda. #SiteNews #TukutaneSite #TukutaneKazini