UMASIKINI WANGU MWANAHAWA ALLY/ZANZIBAR STARS

Binadamu tumeumbwa na Tamaa lakini si kwa wote,hali hii huwakumba zaidi Wanawake na hatimae kujikuta wanafanya kazi ambazo hawakuzitarajia.Lakini leo Mwanahawa Ally anasema amekinai na umasikini wake hata mkimkebehi nia mola takadiri,ni wachache wenye maono kama yake ukitazama na wakati ambao tuko nao wengi wanapenda kitu kuliko utu hali inayopelekea kudhalauliwa na baadhi ya watu.Ukilidhika na unachokipata hata mungu anakulinda na mabaya dhidi yako.