Polisi wapanda juu ya paa kukabiliana na jambazi jijini Nairobi

Kulikuwa na kizaazaa leo katika barabara ya jogoo, baada ya polisi kumpiga risasi jambazi mmoja aliyekuwa amejihami. Kumkabili, iliwabidi polisi kupanda juu ya paa ya nyumba mmoja katika mtaa wa makadara, alikojificha jambazi huyo, katika tukio ambalo lilikuwa kama sinema Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv Follow us on   / ktnkenya   Like us on   / ktnkenya