MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AKIELEZEA ALIVYOKAA KARANTINI BAADA YA KUTOKA NCHINI CUBA
[14:01, 4/3/2020] +255 774 848 800: Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewatahadharisha Wananchi kuzingatia kwamba Karantini wanaowekewa Watu walioingia Nchini kutoka Nje ya Nchi sio adhabu bali ni utaratibu unaozingatia Muongozo wa Wataalamu wa Afya katika mapambano dhidi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha Mafua na Homa Kali ya Mapafu. Balozi Seif Ali Iddi ametoa tahadhari hiyo huko Nyumbani Kwake Mtaa wa Kama Kaskazini Kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akitoa Taarifa kwa Umma baada ya kumaliza muda wake wa wa mapumziko ya Siku 14 zinazomuwajibika Kila Msafiri aliyeingia Nchini kutoka nje ya Nchi kwa mujibu wa Wataalamu. Hata hivyo Balozi Sif alisema kwa mujibu wa Wataalamu wa Sekta ya Afya walimshauri aendelee kuongeza Siku Saba Zaidi ili kumaliza vyema Karantini hiyo. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliwapongeza Mawaziri wa Afya wa Serikali ya Muungano waTanzania na ile ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa jitihada wanazoendelea kuzichukuwa katika kuipatia Jamii Taarifa sahihi juu ya muenendo mzima wa Virusi vya Corona.

"UONGOZI SI KUTAFUTA UTAJIRI, NI KUTUMIKIA WANANCHI" - BALOZI SEIF ALI IDDI

MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU Mhe OTHMAN MASOUD OTHMAN MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR.

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

SAFARI YA MAISHA NA MIKIKI MIKIKI YA MWANASIASA JUMA DUNI (BABU DUNI) (SEMA NASI)

BREAKING: Kenyans Reject Ndindi Nyoro's apology

Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar leo afunua mengi yaliyo nyuma za pazia katika hotuba yake Pemba

KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI CHA SHIRIKI KATIKA KUADHIMISHA KILELE KMKM

AHMED ALLY AFUNGUKIA PAREDI LA UBINGWA, JANGWANI IILIVYOUMIZWA KUIFUNGA SINGIDA, MUDA WOWOTE ITAKUFA

Ethiopia is About to Explode.

Living in ZANZIBAR | Life of people behind Africa's Most Famous Paradise | 4K

ZAECA yawaburuta mahakamani wahasibu, maafisa manunuzi na maafisa wa makampuni kwa wizi wa mabilioni

Waziri wa Muungano amtembelea Makamu wa Rais Zanzibar

Zanzibar 4K. Tropical Paradise in Africa. Beaches & Sights

SHUHUDIA ALICHOKIFANYA MAKAMO WA PILIWA RAIS KIJIJINI KWAO

MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA BANDARI ZANZIBAR AKIWA KATIKA ZIARA YA MABALOZI WA TANZANIA.

WAZEE WAPAZA SAUTI ZANZIBAR “MSIKATE TAMAA WATU”

THIS IS LIFE IN ETHIOPIA - The most isolated place on earth ? - Travel documentary

KIKOSI CHA ZIMAMOTO

🔴#LIVE: GOOD MORNING KUTOKA ZANZIBAR, TUNAZINDUA RASMI WASAFI FM ZANZIBAR

