Mahakama Kuu Yatupilia Mbali Kesi Mgawanyo wa Mali CHADEMA

Leo, Mei 28, 2026, Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar-es Salaam imefuta kesi ya madai namba 8323/2025 iliyofunguliwa na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohamed, pamoja na wajumbe wawili wa Bodi ya Wadhamini kutoka Zanzibar, Ahmed Rashid Khamis na Maulida Anna Komu. Wadai walidai kwamba ugawaji wa fedha, mali na rasilimali kwa ajili ya shughuli za kisiasa na kiutawala kati ya Tanzania Bara na Zanzibar uliofanywa na Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA ulikuwa kinyume cha sheria na batili. Kesi hiyo ilisababisha Mahakama Kuu kuweka zuio la matumizi ya rasilimali za chama, ikiwemo ofisi na magari, tangu Juni 2025. Kufutwa kwa kesi hiyo pia kunamaanisha kwamba Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, aliyekuwa amewasilisha maombi ya kujumuishwa katika kesi hiyo akisema ana maslahi ya moja kwa moja kama kiongozi wa chama, naye hatahitajika tena kufika mahakamani kwa ajili ya shauri hilo. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Kutuunga mkono: https://thechanzo.com/support/ Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2026 © All Rights Reserved.

🔴#LIVE: EXCLUSIVE: MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MAZITO -SABABU KURUDI CHADEMA TUME ya CHANDE -CCM KWEMA?
▶︎

🔴#LIVE: EXCLUSIVE: MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MAZITO -SABABU KURUDI CHADEMA TUME ya CHANDE -CCM KWEMA?

🔴#LIVE:CHADEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU KILWA MAELFU WAFURIKA
▶︎

🔴#LIVE:CHADEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU KILWA MAELFU WAFURIKA

Spika Zungu Atoa Onyo Baada ya Mbunge wa CHAUMMA Kuambiwa “Hajitambui” Bungeni
▶︎

Spika Zungu Atoa Onyo Baada ya Mbunge wa CHAUMMA Kuambiwa “Hajitambui” Bungeni

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

SAKATA LA MAREKANI KUIWEKEA VIKWAZO TANZANIA, ATHARI ZAKE NI ZIPI? | UCHAMBUZI
▶︎

SAKATA LA MAREKANI KUIWEKEA VIKWAZO TANZANIA, ATHARI ZAKE NI ZIPI? | UCHAMBUZI

Makamu Mwenyekiti CHADEMA Zanzibar Aibukia Kilwa Kivinje, 'Tuendelee Kushikilia Hapo Hapo'
▶︎

Makamu Mwenyekiti CHADEMA Zanzibar Aibukia Kilwa Kivinje, 'Tuendelee Kushikilia Hapo Hapo'

Mnyika Amkumbuka 'Bwege' Kuhusu ACT Wazalendo, Ni Kwenye Mkutano wa CHADEMA Kilwa
▶︎

Mnyika Amkumbuka 'Bwege' Kuhusu ACT Wazalendo, Ni Kwenye Mkutano wa CHADEMA Kilwa

🔴LIVE: WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA NA WAANDISHI MUDA HUU
▶︎

🔴LIVE: WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA NA WAANDISHI MUDA HUU

የህግ ማስከበር በብልጽግና ላይ/''ጥርጥር የለውም ፋኖ ጀግና ነው'' አብይ/ 6-3-2026
▶︎

የህግ ማስከበር በብልጽግና ላይ/''ጥርጥር የለውም ፋኖ ጀግና ነው'' አብይ/ 6-3-2026

WAUZA MAGARI MAARUFU WASHANGAA SERIKALI KUNUNUA COSTA MOJA kwa MILIONI 300!..
▶︎

WAUZA MAGARI MAARUFU WASHANGAA SERIKALI KUNUNUA COSTA MOJA kwa MILIONI 300!..

SAUTI HII YA TUNDU LISSU ILIVYOWAACHA WATU MDOMO WAZI
▶︎

SAUTI HII YA TUNDU LISSU ILIVYOWAACHA WATU MDOMO WAZI

WANAHARAKATI WAIBUA SIRI MASENETA WA MAREKANI KUIWEKEA BURN VISA ZA WANACCM, WABUNGE(BULAYA,KAMBO)
▶︎

WANAHARAKATI WAIBUA SIRI MASENETA WA MAREKANI KUIWEKEA BURN VISA ZA WANACCM, WABUNGE(BULAYA,KAMBO)

NCHIMBI AFICHUA SIRI NZITO YA RAIS MAGUFULI, WATANZANIA WABAKI MIDOMO WAZI!
▶︎

NCHIMBI AFICHUA SIRI NZITO YA RAIS MAGUFULI, WATANZANIA WABAKI MIDOMO WAZI!

HUYU MZEE ANAPIGA KAMA HAPIGI ILA MOT WAKE NI BALAA, AWAPA SOMOMZITO WANANCHI WA MPANDA MJINI
▶︎

HUYU MZEE ANAPIGA KAMA HAPIGI ILA MOT WAKE NI BALAA, AWAPA SOMOMZITO WANANCHI WA MPANDA MJINI

#LIVE: Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Arobaini na Moja- Juni 2, 2026
▶︎

#LIVE: Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Arobaini na Moja- Juni 2, 2026

LIVE: TUNAZIHESABU KANUNI 10 ZA UZALENDO NA ZITTO KABWE | AMSHA CREW | 28.05.2026.
▶︎

LIVE: TUNAZIHESABU KANUNI 10 ZA UZALENDO NA ZITTO KABWE | AMSHA CREW | 28.05.2026.

CCM YACHUKIZWA NA UTEKAJI, YAUMIZWA NA YALIYOTOKEA OKTOBA 29, BALOZI DKT ROSE MIGIRO ATETA NA KIKEKE
▶︎

CCM YACHUKIZWA NA UTEKAJI, YAUMIZWA NA YALIYOTOKEA OKTOBA 29, BALOZI DKT ROSE MIGIRO ATETA NA KIKEKE

BAVICHA Watoa Kauli, “Hakuna Tunachoogopa kwa Sasa'
▶︎

BAVICHA Watoa Kauli, “Hakuna Tunachoogopa kwa Sasa'

MBUNGE WA CHAUMMA ,SIGRADA MLIGO AZUA TAHARUKI BUNGENI WAKATI AKITOA SOMO  LA  MIGOGORO YA ARDHI.
▶︎

MBUNGE WA CHAUMMA ,SIGRADA MLIGO AZUA TAHARUKI BUNGENI WAKATI AKITOA SOMO LA MIGOGORO YA ARDHI.