JAMES MBOYI FT MESHACK AUDAX NAJONGEA MEZA YAKO Official Video Music HD

Mwili na Damu ya Yesu Kristo ndio Chakula na Kinywaji chetu cha Roho. Tupokee Ekaristi Takatifu kila mara ili kupata afya ya Roho.Karibu kutazama,kusikiliza na kutafakari wimbo huu chini ya utunzi mahili wa Mwalimu Jerome Kagoma kutoka jimbo kuu Katoliki la Mwanza. WIMBO: Najongea Meza yako. MUIMBAJI: James Mboyi Ft Meshack Audax. MTUNZI: Jerome Kagoma. ORGANIST.P.S. Maisa DIRECTOR: Inno pro. AUDIO & VIDEO: Inno Production.