Dakika 10 za Rais wa CWT Leah Ulaya aomba vyombo vya Serikali viache kuingilia vikao vya walimu
Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Leah Ulaya amevitaka vyombo vingine vya Serikali kuacha kuingilia mambo ya chama hicho na wakiache kisimame chenyewe. Ulaya ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Septemba 25,2023 wakati akifungua kikao cha dharura cha Baraza Kuu la CWT ambapo ametaka viongozi wa chama hicho ngazi ya mikoa kukataa kuingiliwa na mamlaka zingine. Kauli ya kiongozi huyo imetolewa saa chache baada ya vuta nivute iliyotokana na Polisi kuzuia mkutano huo kwa walichosema kuna maelekezo kutoka viongozi wa juu. Polisi walifunga lango la kuingia katika ofisi za CWT makao makuu zoezi lililodumu kwa saa 1.20 kabla ya kupatikana kwa muafaka na kuruhusiwa waendelee na kikao.

▶︎
Standard Group yajibu vikali chapisho la Ruto X, yatetea uhuru wa vyombo vya habari

▶︎
I AM NOT IN GOV'T! Ndindi Nyoro finally addresses the Nation on why he skipped voting in Finance Bil

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza

▶︎
🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI

▶︎
EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

▶︎
Exclusif : Ousmane Sonko déclare qu'"il n'y aura pas de déchirure" avec Bassirou Diomaye Faye

▶︎
Mwanzo-Mwisho Wabunge CCM Wachachamaa Marekani Kutaka Kuwaekea Vikwazo Viongozi wa Serikali Tanzania

▶︎
DR Congo's 'Living Statue' Brings Lumumba's Legacy to FIFA World Cup | Firstpost Africa | N18G

▶︎
🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

▶︎
What do young Kenyans really want? - World Questions, BBC World Service

▶︎
HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

▶︎
🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

▶︎
BABALEVO AMVAA WAZIRI KATAMBI AAKATA LA WANAJESHI | UNASUBILIWA NJE ULIPE HELA ZAO | AMJIA JUU

▶︎
#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

▶︎
🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

▶︎
HECHE AONGEZEWE ULINZI, KAULI YAKE YATIMIA?, "CCM HAMUWEZI KUSHINDANA NA CHADEMA, MTAPASUKA KIFUA"

▶︎
Michelle Obama speech brings tears to Barack | Watch it in full

▶︎
