INAKUWAJE TUNASIKIA MANENO - PASCHAL F. MWARABU | TANZANIA ORGANISTS SOCIETY (TOS)

Wimbo: Inakuaje Tunasikia Maneno Mtunzi: Paschal Flourian Mwarabu Organist: Alex Rwelamira Church/Location: Parokia ya Mtakatifu Augustino, Ukonga, DSM Organ: Yamaha EL90 Video Credit: JUGO MEDIA Society: Tanzania Organists Society (TOS) MANENO YA WIMBO INAKUWAJE TUNASIKIA @ P. F. Mwarabu Inakuwaje tunasikia maneno, wanayosema, kwa lugha yetu wenyewe Tunasikia mambo hayo ya Mungu, wanayosema, kwa lugha yetu wenyewe { Wao ni wa Galilaya, na si ni wa makabila, Ya kutoka nchi mbalimbali (duniani) Ina maana gani, linashangaza jambo hilo } *2 Siku ile ya Pentekoste ilipofika, mitume nao waamini Walikusanyika pamoja katika nyumba, walimokuwa wamekaa Mara uvumi wa upepo ukasikika, ndimi za moto zikawashukia, Wakawa wamejazwa na Roho Mtakatifu, wakisema lugha nyingi Mawasiliano: JUGO MEDIA, Sokoine Drive, Posta P. O. BOX 34014, Dar es Salaam. For Bookings and other Enquiries Phone Number +255757560764/657790405 #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa