ZIARA YA NEMC KWENYE MGODI WA DHAHABU WA BULYANHULU KUKAGUA UTUNZAJI WA MAZINGIRA.

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limefanya Ziara kwenye mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu Mkoani Geita kukagua utunzaji wa mazingira katika mgodi huo.