RAIS RUTO AONYA DHIDI YA VURUGU KATIKA MAANDAMANO YA JUNI 25
#HABARI: Rais wa Kenya, William Ruto, ameonya dhidi ya vurugu, uharibifu wa mali na usumbufu wa shughuli za kiuchumi wakati wa maandamano yanayotarajiwa kufanyika wiki ijayo kuadhimisha miaka miwili tangu maandamano ya Juni 25. Akizungumza Nairobi Juni 19, 2026, Ruto amesema wananchi wana haki ya kuandamana na kutoa maoni yao, lakini haki hiyo inapaswa kutekelezwa kwa amani bila kuathiri usalama, uchumi na maisha ya wananchi wengine. Rais huyo amesisitiza kuwa serikali haitavumilia vitendo vya uchochezi, uporaji au uharibifu wa mali, akionya kuwa wahusika pamoja na wanaofadhili vurugu watachukuliwa hatua za kisheria. Kwa upande wake, Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen, amesema vyombo vya usalama vimejiandaa kukabiliana na makundi yoyote yatakayojaribu kusababisha machafuko wakati wa maandamano hayo. Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika kama kumbukumbu ya waliopoteza maisha katika maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha wa mwaka 2024. Kwa mujibu wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu ya Kenya (KNCHR), watu 60 walifariki wakati wa maandamano hayo. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #ITVDigital #ITVUpdates ITVTanzania Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzaniaUsisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : http://bit.ly/itvtanzania Facebook : https://bit.ly/2KeQNl3 Twitter : https://bit.ly/2XG7aii Instagram : https://bit.ly/34KItmg

'USINITISHE MIMI, KILA MKENYA NI MKIKUYU' ~UHURU KENYATTA LAST WARNING TO RUTO

HECHE ANAJIAMINI NINI? AJITOA TENA SADAKA MASASI, AONGEZEWE ULINZI, AIKAANGA SERIKALI YA RAIS SAMIA

"Aliniambia nitakuwa one term president," President Ruto explains why he fell out with Gachagua

Waziri Mkuu Mudavadi ataka mfumo bora wa fedha kwa Afrika katika mkutano wa G7

የጠቅላይ ሚኒስትሩ መልዕክት | ETV | EBC | EBCDOTSTREAM

ZIIARA YA RAIS WA NAMIBIA MHE: DKT NATUMBO NANDI- NDAITWAH JIJINI DODOMA.

ALLEGED SUDI AND KIHIKA GOONS SHOT AND KILLED FOR GOON ACTIVITY! THEN THEY BLAME INNOCENT MP!

Xenophobia - South Africans Are Chasing Ghosts While The Real Culprits Are Laughing | Thabo Mbeki

🔴RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS DKT. NETUMBO, IKULU DAR ES SALAAM

Stranded Ruto as Mourners From NAROK WALKED OUT ON His Speech Live On Camera!

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

Male lion attacks over 20 hyenas

VP Vance, Iranian officials launch talks on Tehran nuclear program

Dark History of the Kenya Defence Forces (KDF)

Trouble for Ndindi Nyoro as Mp Junet Claims He Secretly Supported Finance Bill thus Skipping voting

Farouk Kibet Used to HATE William Ruto

Ruto WORST NIGHTMARE Why Kenyans Have Never Been This Angry at a President|Plug Tv Kenya

Wakenya Wameshaamua? Kauli Za Mwananchi Huyu Na Kelele Za Wantam Zazua Mjadala Mkubwa

Texas Senators Cruz and Cornyn express concerns over President Trump and JD Vance's Iran deal

