3. Kumbe Biblia ilitabiri Kuna Watu watakataa kuwa Yesu ni MUNGU! ⚠️⚠️

Moja ya angalizo ambalo Kristo Yesu aliwahi kulitoa kwa watu wake na angalizo hilo kurudiwa na Mtume Paulo wa Tarso ni kuibuka kwa MBWA MWITU WAKALI!! Je MBWA MWITU hao ni akina nani na wanahusianahe na swala la UUNGU WA YESU?! Na je leo wapo?! Na je kuna haja gani ya kuwatambua katika safari yetu ya ukristo?! Basi kuyajua hayo fuatilia masomo haya ya UFUNUO WA YESU KRISTO BARIKIWA 🙏😋😋