KIJANA ALIYEZUNGUMZIA PIKIPIKI ZA SAMIA KWENYE MKUTANO KYELA KUKABIDHIWA YAKE NA WAZIRI NANAUKA
KIJANA ALIYEZUNGUMZIA PIKIPIKI ZA SAMIA KWENYE MKUTANO KYELA KUKABIDHIWA YAKE NA WAZIRI NANAUKA Waziri wa nchi ofisi ya rais maendeleo ya vijana Joel Nanauka ametangaza kumkabidhi kijana Simon Mwambebule pikipiki ya mkopo licha ya kutokuwa kwenye kikundi kutokana maoni aliyoyatoa kijana huyo Novemba mwaka 2025. Waziri Nanauka ameeleza hayo wakati akizungumza na wananchi wa Kyela mkoani Mbeya kwenye hafla ya kukabidhi pikipiki 22 zenye thamani ya shilingi milioni 87 kwa vikundi viwili vya vijana wilayani Kyela ambapo ameeleza kuwa licha ya kijana huyo kutokuwepo kwenye kikundi chochote katika vikundi hivyo viwili pikipiki moja imeongezwa kwa ajili yake.

▶︎
Balozi.Dr. Benson Bana- Atahadharisha Serikali Kesi ya Lissu, Nguvu ya CHADEMA-matamko dhidi ya EU.

▶︎
UTAPENDA USHUPAVU WA BRENDA WA CHADEMA ALIVYOPANGUA HOJA NZITO ZA WATANGAZAJI KUHUSU CHADEMA

▶︎
MUME AMEKUFA MAMA MKWE ,WIFI NA SHEMEJI WANANIFUKUZA WAMECHUKUA NA HATI YA NYUMBA NA VIWANJA

▶︎
Tundu Lissu: Je, mapambano yake yamefika mbali kupita kiasi?

▶︎
CHADEMA na MACHAFUKO ya OKTOBA 29: JAJI MANYOTA AIBUKA na MKANGANYIKO MZITO....

▶︎
DOITA AKUBALI YAISHE MBELE YA DOGO JANJA "TUMPE MUDA TUSIMHUKUMU BADO MAPEMA"

▶︎
BOT na TRA Waingilia Kati Mabilioni ya Harusi Katoro

▶︎
DOTTO MAGARI AMVUA NGUO BOSS WA KATORO/ SHIFTA NA POUL BRAND NYIEE NI VILEMA WA MAISHA/ COMEDIANI

▶︎
ALLY KAMWE ATOA TAARIFA USAJILI WA FEISAL NA AZIZ KI/KOCHA MPYA AMEANZA NAO/ WACHEZAJI HAWA KUACHWA

▶︎
MGONJWA ALIYEKANYAGWA NA GARI AKIPELEKWA HOSPITAL YA KCMC AZIKWA KITETO MANYARA

▶︎
MATILDA wa DUNIA Afunguka 'MADUDU' ya BABA ASMAH, AMPELEKA MAHAKAMANI, ADAI MIL. 100

▶︎
መደመጥ ያለበት ድንቅ መልዕክት! ከፈቃዳችን ውጪ አንዲት ኪሎ ሥጋ የሚወስድ አሞራ የለም-ጠቅላይ ሚኒስትር ዐብይ አህመድ

▶︎
MWIZI AZUA TAHARUKI KANISANI BAADA YA KUINGIA IBADA IKIENDELEA ILI ASIUWAWE NA WANANCHI

▶︎
DNK EMISIJA: Pokupio je u parku, rodila mu dete, sada ga napustila kad je tražio test // S03E15

▶︎
MWILI WA MWALIMU UMEKUTWA UMEOZA NDANI KWAKE UMEKAA SIKU 18 NDANI AACHA UJUMBE KISA UGOMVI NA MKEWE

▶︎
Bombolulu Flyover Has Reached a New Level! | 2026 Construction Update

▶︎
MAHINYILA ALIVYOPANGUA MASWALI BAADA YA KUBANWA KUHUSU CHADEMA NA UELEKEO WAKE KISIASA

▶︎
MJANE ADHULUMIWA ENEO NA SHEMEJI YAKE NAKUUZA SHILINGI MIL 32 MTENDAJI ASITIZA NA WANA UKOO WASIMAMA

▶︎
SAMIA ALIKOROGA ARUSHA | DOCUMENTARY YA LISSU YATIKISA DUNIA

▶︎
