LUSINDE ALIA WANAOOMBA AJIRA KUFANYIWA MITIHANI, ATOA PENDEKEZO

Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amekosoa utaratibu wa waajiriwa wapya kufanyiwa mtihani kabla ya kuajiriwa na badala yake ametaka vitumike vyeti. Lusinde ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 14, 2025 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2025/26. Makadirio hayo yaliwasilishwa Aprili 9, 2025 na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiomba Bunge limuidhinishie Sh782.08 bilioni. Akichangia mjadala huo, Lusinde amesema kama Serikali inaona hawawezi kuajiri Watanzania wote kwa kutumia ajira kupitia mfumo wa ajira wa portal, basi zigawanywe katika kila halmashauri. Amesema endapo halmashauri hawatapata watu wenye elimu inayohitajika basi watazirudisha katika mikoa mingine ili waweze kuajiriwa. “Huu utaratibu wa kuwaleta pamoja, hivi vyeti mlivyowapa mnavikagua unasema hiki ni cheti chako original (halisi) kabisa halafu baadaye unamuingiza katika mtihani wa dakika moja ndio umkoseshe mtoto ajira, haiwezekani,” amesema. Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi

TIMBWILI LA LUSINDE KWA WAPINZANI BUNGENI
▶︎

TIMBWILI LA LUSINDE KWA WAPINZANI BUNGENI

MBUNGE ATAKA WALIMU WASIO NA AJIRA WAAJIRIWE NA WAKURUGEZI, "WALIOKO MTAANI ZAIDI YA 200,000"
▶︎

MBUNGE ATAKA WALIMU WASIO NA AJIRA WAAJIRIWE NA WAKURUGEZI, "WALIOKO MTAANI ZAIDI YA 200,000"

MBUNGE WA CCM ALILIA HAKI "NIKISHINDWA UCHAGUZI MSIIBE KURA KUNIONGEZEA, NAPENDA HAKI KULIKO AMANI"
▶︎

MBUNGE WA CCM ALILIA HAKI "NIKISHINDWA UCHAGUZI MSIIBE KURA KUNIONGEZEA, NAPENDA HAKI KULIKO AMANI"

SIFA ZA MSAILIWA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA/ DATABASE
▶︎

SIFA ZA MSAILIWA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA/ DATABASE

MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE "NAWASHAURI KUAGA BUNGENI KAMA MAJI YAMEZIDI"
▶︎

MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE "NAWASHAURI KUAGA BUNGENI KAMA MAJI YAMEZIDI"

Bwawa la Nkulabi kivutio cha Utalii kata ya Mpunguzi
▶︎

Bwawa la Nkulabi kivutio cha Utalii kata ya Mpunguzi

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku
▶︎

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza
▶︎

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

MBUNGE LUSINDE ACHARUKA BUNGENI "HATUWEZI KUKUBALI WANAOMSEMA VIBAYA MAGUFULI, LEO NAJITOA MHANGA"
▶︎

MBUNGE LUSINDE ACHARUKA BUNGENI "HATUWEZI KUKUBALI WANAOMSEMA VIBAYA MAGUFULI, LEO NAJITOA MHANGA"

"Tumeamua, tutaziroga ngo'mbe mvimbe matumbo" - Musukuma
▶︎

"Tumeamua, tutaziroga ngo'mbe mvimbe matumbo" - Musukuma

"KWANINI AJIRA NI ZA CONNECTION" MBUNGE AILIPUA SERIKALI SAKATA LA AJIRA, ADAI INACHANGIA WIZI
▶︎

"KWANINI AJIRA NI ZA CONNECTION" MBUNGE AILIPUA SERIKALI SAKATA LA AJIRA, ADAI INACHANGIA WIZI

ATA WEWE UKIPEWA MTIHANI WA LA SABA SAIVI UTAFELI" SAKATA LA MTIHANI KWA WALIMU MBUNGE ANGAKA VIKALI
▶︎

ATA WEWE UKIPEWA MTIHANI WA LA SABA SAIVI UTAFELI" SAKATA LA MTIHANI KWA WALIMU MBUNGE ANGAKA VIKALI

BREAKING: Kenyans Reject Ndindi Nyoro's apology
▶︎

BREAKING: Kenyans Reject Ndindi Nyoro's apology

🔴#LIVE: MASWALA MAZITO YA WAJUMBE  BARAZA LA WAWAKILISHI LEO TAREHE 23/O6/2026
▶︎

🔴#LIVE: MASWALA MAZITO YA WAJUMBE BARAZA LA WAWAKILISHI LEO TAREHE 23/O6/2026

BABA LEVO AKIWASHA BUNGENI! WABUNGE TUMEKATAA KUWA WANAFIKI NA VIGEU GEU
▶︎

BABA LEVO AKIWASHA BUNGENI! WABUNGE TUMEKATAA KUWA WANAFIKI NA VIGEU GEU

KUFUKUZWA KAZI WATUMISHI DARASA LA SABA, MSUKUMA ALIAMSHA DUDE
▶︎

KUFUKUZWA KAZI WATUMISHI DARASA LA SABA, MSUKUMA ALIAMSHA DUDE

CHECHE ZA MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE BUNGENI LEO
▶︎

CHECHE ZA MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE BUNGENI LEO

MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE "MTEGO MNAOTAKA KUUTEGA UTAWANASA WENYEWE"
▶︎

MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE "MTEGO MNAOTAKA KUUTEGA UTAWANASA WENYEWE"

MBUNGE MUSUKUMA AMWAMBIA WAZIRI “UNANISIKILIZA AU UNACHATI? OLE WAKO UJE NA MAJIBU YA MAWENGE"
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AMWAMBIA WAZIRI “UNANISIKILIZA AU UNACHATI? OLE WAKO UJE NA MAJIBU YA MAWENGE"