Producers wa PRO Wanajua Secret ya Panning?

Wasanii wengi huweka Lead Vocal na Back Vocals pekee, lakini husahau kitu muhimu sana kinachofanya wimbo usikike mkubwa, wenye energy na professional — ADLIBS. Katika tutorial hii nitakuonesha jinsi ya kurekodi na kuchanganya adlibs kwenye nyimbo zako, ili kuboresha "music production" na "audio production" yako. Kama mix zako zimekuwa zikisikika flat au hazina ule uzito unaousikia kwenye nyimbo za wasanii wakubwa, usijali, nitakuonyesha "how to mix vocals" ukitumia "FL Studio" au "pro tools" na kukuwezesha kufanya "mixing" ya kiwango cha juu.