RC MTAKA AWACHARUKIA WATENDAJI WA HALMASHAURI KISA TOZO "NASUBIRI TUMALIZE UCHAGUZI, NAFUTA USHURU"
Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amechukizwa na Urasimu unaofanywa na baadhi ya watendaji wa Serikali wakiwemo wa kwenye mageti ya ukaguzi wanaosababisha hasara kubwa kwa wakulima wa mazao yanayooza kama vile Parachichi na viazi kwa kukaa muda mrefu getini ambapo amesema mara baada ya uchaguzi mkuu kufanyika anakwenda kukutana na wakurugenzi,wakuu wa vitengo na madiwani wote wa halmashauri za mkoa wa Njombe ili kuweza kufuta tozo na ushuru kandamizi kwa wakulima. Mtaka ameeleza hayo wakati akitoa mwelekeo kwenye kilimo katika mkutano uliokutanisha mikoa nane inayolima Parachichi ili kujadili mstakabali wa zao hilo na kufungua msimu wa ununuzi wa Parachichi ambapo amesema halmashauri ziekuwa zikitoza ushuru wa mazao licha kushindwa kuboresha miundombinu ya kuinua kilimo ikiwemo maji,umeme na barabara.

RC MTAKA HATIKISWI AISEE, Kwanini Ulale Guest ya Elfu 5, Wastaafu Awapa Angalizo

MCHINA AMEFURAHI KUKAMATWA WALIOMUUA NDUGU YAKE, NDIO WALE WALIDANGANYA MAJINA WAFANYAKAZI WAFUNGUKA

RC MTAKA REVEALS THE DETERMINATION TO AVOID THE PARACHICHI TAX, FARMERS REJOICE

GARI YA OFISI YA MKURUGENZI JIJI LA ARUSHA YAKAMATWA NA SHEHENA YA DAWA ZA KULEVYA, ABANWA ...

DAKIKA 97 MSIMAMO WA RC MTAKA KUHUSU USHURU WA VYOO, UTAJIRI UPO KWENYE KILIMO, VIDEO 2022 NJOMBE

SIRI ZA KUTISHA ZA SAMAKI HATARI DUNIANI, SUMU YAKE NI KIFO, UNAKUA KIPOFU, HUFANYI MAPENZI MIEZI

WATU WASIOJULIKANA WASHAMBULIA GARI ILIYOBEBA WATALII ARUSHA, MWENYEKITI CHAMBULO AONGEA

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

"NI AIBU, UJINGA MTUPU MNAJADILI" RC MTAKA AGEUKA MBOGO, AMJIA JUU DC, WAKANDARASI WAUSHINDWA MRADI

MANENO YA RC MTAKA YAWAFURAHISHA WANANCHI UKALAWA LUPEMBE KITUO CHA AFYA KIFUNGULIWE DESEMBA

"TUNATUMANA CHAPATI" BILA WOGA MFANYAKAZI AMCHANA BOSS WAKE MBELE YA RC MTAKA

Neno la RC Mtaka kwa Mabinti Mtandaoni, Awataka Wazazi Wasimame Mbele Kwenye Malezi

WAKONGWE KILIMO CHA PARACHI NJOMBE WAELEZA MAGUMU WALIYOPITIA, WAMSHUKURU MKUU WA MKOA ANTHONY MTAKA

HUYU NDIO RC BORA TANZANIA KAMA UNABISHA MSIKILEZE HAPO MADINI YAKE

RC MTAKA: ACHENI KUGOMBANIA MAGARI YA SERIKALI, HAYO SIO YA KWENU,NI YA RAIS SAMIA

RC MTAKA AWAKA, ATAKA WENYEVITI WALIPWE POSHO, ZA WIZI ZIPO ZA KUWALIPA HAZIPO, WENYEVITI WACHEKELEA

WAUZA MAGARI MAARUFU WASHANGAA SERIKALI KUNUNUA COSTA MOJA kwa MILIONI 300!..

NATAMANI WATUMISHI WOTE MUWE NA MGARI YA KUTEMBELEA RC MTAKA MEIMOSI NJOMBE

MAZUNGUMZO YA MKAPA NA MKUU WA MKOA WA SIMIYU ANTHONY MTAKA

