SERIKALI IMEAMUA KUWAJENGEA NYUMBA WANANCHI WAKE DODOMA KWA MKOPO
Baada ya Serikali kutoa mkopo za zaidi ya Bilion 71 kwa Shirika la nyumba la taifa NHC kwa ajili ya kujenga nyumba 1000 katika maeneo ya Chamwino Ikulu na Iyumbu kwa lengo la kupunguza changamoto za makazi kwa wananchi wake kufuatia maamuzi ya Serikali kuhamia Dodoma ambapo lengo ni kuwauzia nyumba hizo wananchi kwa kipato cha chini kwa gharama naafuu. leo June 11, 2021 Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ambayo ndio itakuwa wadhamini wa mikopo kwa wananchi watakaouziwa nyumba hizo Charles Itembe ametembelea mradi huo ili kujionea ujenzi unavyoendelea huku akiwataka wananchi wa kipato cha chini kujitokeza kwa wingi kuchangamkia nyumba hizo pindi zitakapokamilika.

▶︎
#TBC1 WEKEZA TANZANIA: FURSA YA KUMILIKI NYUMBA DODOMA | MILIKI NYUMBA KWA MKOPO WA 9%

▶︎
MILIKI NYUMBA KUPITIA BENKI YA NMB KWA MKOPO NAFUU

▶︎
SIRI NZITO NYUMA ya UTAJIRI wa WAHINDI, ANAANZISHA BIASHARA BABU, ANAKUFA HADI MJUKUU ANAIKUTA...

▶︎
FAIDA YA KUNUNUA NYUMBA KUPITIA MKOPO WA NYUMBA WA MUDA MREFU (MORTAGAGE)

▶︎
AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA

▶︎
BINTI WA MIAKA 28 ASIMULIA JINSI ALIVYOJENGA NYUMBA YAKE KWA MUDA MCHACHE HADI KUKAMILIKA

▶︎
Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

▶︎
Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

▶︎
NYUMBA KALI SANA ZA KISASA ZINAUZWA DODOMA, BEI SAWA NA BURE KABISAAA….

▶︎
PROF KABUDI ASISITIZA UWANJA DODOMA UJENGWE KIMATAIFA

▶︎
MIKAKATI YA NHC DODOMA KUWAPA MAKZI WANANCHI WA JIJI HILO

▶︎
PIC YAPONGEZA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI NZUGUNI, DODOMA

▶︎
ISIKUPITE! NYUMBA za MKOPO, VIWANJA Pia VIPO, UNALIPA KIDOGO KIDOGO Kwa RIBA KIDUCHUU...

▶︎
Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

▶︎
INAUMIZA: AKOPEA NYUMBA YA JIRANI MIL 200 KWA HATI FEKI, DOGO AFIKA IKULU KUMLILIA RAIS “TUSAIDIENI”

▶︎
Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7

▶︎
MILIKI NYUMBA YA NDOTO YAKO KUPITIA MKOPO WA UJENZI KUTOKA NMB KUANZIA MILIONI 10 HADI 200

▶︎
Afghanistan most cheap street food | Kabuli pulao | biryani | Roasted chicken | street food

▶︎
KINACHO ENDELEA KATIKA UJENZI WA FLYOVER ZANZIBAR

▶︎
