SERIKALI IMEAMUA KUWAJENGEA NYUMBA WANANCHI WAKE DODOMA KWA MKOPO

Baada ya Serikali kutoa mkopo za zaidi ya Bilion 71 kwa Shirika la nyumba la taifa NHC kwa ajili ya kujenga nyumba 1000 katika maeneo ya Chamwino Ikulu na Iyumbu kwa lengo la kupunguza changamoto za makazi kwa wananchi wake kufuatia maamuzi ya Serikali kuhamia Dodoma ambapo lengo ni kuwauzia nyumba hizo wananchi kwa kipato cha chini kwa gharama naafuu. leo June 11, 2021 Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ambayo ndio itakuwa wadhamini wa mikopo kwa wananchi watakaouziwa nyumba hizo Charles Itembe ametembelea mradi huo ili kujionea ujenzi unavyoendelea huku akiwataka wananchi wa kipato cha chini kujitokeza kwa wingi kuchangamkia nyumba hizo pindi zitakapokamilika.

#TBC1 WEKEZA TANZANIA: FURSA YA KUMILIKI NYUMBA DODOMA | MILIKI NYUMBA KWA MKOPO WA 9%
▶︎

#TBC1 WEKEZA TANZANIA: FURSA YA KUMILIKI NYUMBA DODOMA | MILIKI NYUMBA KWA MKOPO WA 9%

MILIKI NYUMBA KUPITIA BENKI YA NMB KWA MKOPO NAFUU
▶︎

MILIKI NYUMBA KUPITIA BENKI YA NMB KWA MKOPO NAFUU

SIRI NZITO NYUMA ya UTAJIRI wa WAHINDI, ANAANZISHA BIASHARA BABU, ANAKUFA HADI MJUKUU ANAIKUTA...
▶︎

SIRI NZITO NYUMA ya UTAJIRI wa WAHINDI, ANAANZISHA BIASHARA BABU, ANAKUFA HADI MJUKUU ANAIKUTA...

FAIDA YA KUNUNUA NYUMBA KUPITIA MKOPO WA NYUMBA WA MUDA MREFU (MORTAGAGE)
▶︎

FAIDA YA KUNUNUA NYUMBA KUPITIA MKOPO WA NYUMBA WA MUDA MREFU (MORTAGAGE)

AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA
▶︎

AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA

BINTI WA MIAKA 28 ASIMULIA JINSI ALIVYOJENGA NYUMBA YAKE KWA MUDA MCHACHE HADI KUKAMILIKA
▶︎

BINTI WA MIAKA 28 ASIMULIA JINSI ALIVYOJENGA NYUMBA YAKE KWA MUDA MCHACHE HADI KUKAMILIKA

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa
▶︎

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8
▶︎

Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

NYUMBA KALI SANA ZA KISASA ZINAUZWA DODOMA, BEI SAWA NA BURE KABISAAA….
▶︎

NYUMBA KALI SANA ZA KISASA ZINAUZWA DODOMA, BEI SAWA NA BURE KABISAAA….

PROF KABUDI ASISITIZA UWANJA DODOMA UJENGWE KIMATAIFA
▶︎

PROF KABUDI ASISITIZA UWANJA DODOMA UJENGWE KIMATAIFA

MIKAKATI YA NHC DODOMA KUWAPA MAKZI WANANCHI WA JIJI HILO
▶︎

MIKAKATI YA NHC DODOMA KUWAPA MAKZI WANANCHI WA JIJI HILO

PIC YAPONGEZA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI NZUGUNI, DODOMA
▶︎

PIC YAPONGEZA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI NZUGUNI, DODOMA

ISIKUPITE! NYUMBA za MKOPO, VIWANJA Pia VIPO, UNALIPA KIDOGO KIDOGO Kwa RIBA KIDUCHUU...
▶︎

ISIKUPITE! NYUMBA za MKOPO, VIWANJA Pia VIPO, UNALIPA KIDOGO KIDOGO Kwa RIBA KIDUCHUU...

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.
▶︎

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

INAUMIZA: AKOPEA NYUMBA YA JIRANI MIL 200 KWA HATI FEKI, DOGO AFIKA IKULU KUMLILIA RAIS “TUSAIDIENI”
▶︎

INAUMIZA: AKOPEA NYUMBA YA JIRANI MIL 200 KWA HATI FEKI, DOGO AFIKA IKULU KUMLILIA RAIS “TUSAIDIENI”

Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7
▶︎

Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7

MILIKI NYUMBA YA NDOTO YAKO KUPITIA MKOPO WA UJENZI KUTOKA NMB KUANZIA MILIONI 10 HADI 200
▶︎

MILIKI NYUMBA YA NDOTO YAKO KUPITIA MKOPO WA UJENZI KUTOKA NMB KUANZIA MILIONI 10 HADI 200

Afghanistan most cheap street food | Kabuli pulao | biryani | Roasted chicken | street food
▶︎

Afghanistan most cheap street food | Kabuli pulao | biryani | Roasted chicken | street food

KINACHO ENDELEA KATIKA UJENZI WA FLYOVER ZANZIBAR
▶︎

KINACHO ENDELEA KATIKA UJENZI WA FLYOVER ZANZIBAR

JUMBA la COY MZUNGU ni noma, Hatimaye afunguka malengo ya KUJENGA NYUMBA hiyo, GHARAMA yake ni noma
▶︎

JUMBA la COY MZUNGU ni noma, Hatimaye afunguka malengo ya KUJENGA NYUMBA hiyo, GHARAMA yake ni noma