WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YATOA MAFUNZO YA URAIA NA UTAWALA BORA.
Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe Dkt Sophia M Kizigo ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria kwa kutoa mafunzo ya uraia na utawala bora kwa viongozi wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Shule ya Mpwapwa Sekondari Mei 26,2026.Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo Dkt Kizigo ameeleza kuwa mafunzo hayo yana mchango mkubwa katika kujenga viongozi wenye uadilifu, maadili, uwajibikaji na uzalendo, ambazo ni sifa zitakazoleta tija katika utumishi wao wa umma na kuwezesha kulitumikia Taifa kikamilifu.Naye Bw. Nickson Maleko, Wakili wa Serikali – Wizara ya Katiba na Sheria na muwasilisha mada ya Usimamizi wa Rasilimali za Nchi, ameeleza kuwa mali na rasilimali asilia za nchi kama ardhi, misitu, maji, madini, wanyamapori, bahari, gesi asilia, ni msingi mkubwa wa maendeleo ya taifa na ustawi wa wananchi. “Viongozi wa serikali za mitaa wana jukumu muhimu katika kuhakikisha rasilimali hizi zinalindwa, zinatumika kwa ufanisi, na zinawanufaisha wananchi wa sasa na vizazi vijavyo.” Aliongeza Bw. Nickson MalekoViongozi wa serikali za mitaa wameelezwa kuwa wana nafasi kubwa katika kuhakikisha mali na rasilimali za nchi zinasimamiwa kwa uadilifu, uwazi, na kwa kuzingatia misingi ya utawala bora kwani Ulinzi wa rasilimali ni jukumu la kila mwananchi, lakini viongozi wanapaswa kuwa mfano bora katika kusimamia na kulinda mali za Umma.

"Ruto Offering Me KSh 50 Million Is a Big Joke!" Gachagua Breaks Silence After Court Ruling!

BREAKING: CJ Martha Koome delivers bad news to Gachagua

'Ksh.50M is alot for the Senate', Heated Debate as Senators react to Court's Judgement on Gachagua

MAAFISA USAFIRISHAJI WATAKIWA KUFUATA UTARATIBU WA KUTUMIA VYOMBO VYA MOTO.

UMUGAMBI WO GUTERA U RWANDA U BURUNDI BAWUGEZE KURE DORE UKO UMUPANGU WOSE UTEGUYE

NAIBU WAZIRI OWM-SBUU AWAPA TABASAMU WATOTO WENYE ULEMAVU MLALI

KAMATI YA ALAT MKOA YAIPONGEZA MPWAPWA KWA MIRADI MIZURI.

MHE. SHAKA AWATAKA WAHE. MADIWANI KUTOJIHUSISHA NA MIGOGORO YA ARDHI KINYUME NA SHERIA.

LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

US Apache helicopter goes down off Oman coast

Mganga Mkuu wa Wilaya Dr Stanley Mlay akielezea huduma zitakazotolewa Zahanat

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

YOU WILL NEVER SEE ME IN POLITICS AGAIN" GACHAGUA REVEALS!!

1ST LECTURE OF PRO. PLO LUMUMBA AT UCC

🔴LIVE:WAKILI MADELEKA ANAUNGURUMA MUDA HUU,ANAFUNGUKA MAZITO

HOTUBA YA DC MASANJA KATIKA KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA SERIKALI TUNDURU.

NATAMANI KAMA TUNGETUMIA NAFASI ZETU KUWASIMAMIA WATENDAJI KUKUSANYA MAPATO.

DC AWAASA WANAWAKE KUACHANA NA MIKOPO UMIZA 'KAUSHA DAMU'

