Mzee Ndonya Ataja Pesa anayoingiza Kupitia Nyimbo za Kikinga 'Usiangalie breach Angalia pesa' PART 1

Mzee Ndonya ni mkaazi wa kijiji cha Ndulamo wilayani Makete Mkoani Njombe ambaye ni mwimbaji wa nyimbo za Asili/Makabila kwa lugha ya kikinga.