HARAMBEE UJENZI WA BWENI SHULE YA MSINGI NDARABOSHO, DC SAKULO ASHIRIKI PAMOJA NA JAMII YA BATEMI.
Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Kanali Wilson Sakulo ameshiriki sherehe ya harambee ya jamii ya Batemi kata ya Sale yenye lengo la kukusanya michango kwaajili ya ujenzi wa bweni katika shule ya msingi ya Ndarabosho. Sherehe hiyo pia ilihusisha uzinduzi wa shule ya rika la Ndarabosho, ambapo mgeni rasmi alikua Mkuu wa Wilaya aliyeshiriki kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Kenani Kihongosi kama mgeni rasmi ambaye hakufika sababu ya majukumu mengine ya kiutendaji. Aidha, harambee hiyo ilifanikiwa kukusanya kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 100 za kitanzania

▶︎
CPA. AMOS MAKALA MKUU WA MKOA ARUSHA AKIHUTUBIA MKUTANO WA BARAZA LA HOJA HALMASHAURI YA NGORONGORO

▶︎
WANANCHI WA MILILO, KIGASHA, CHENJUBU NA CHAMENGO KUKOMBOLEWA NA SHULE YA SEKONDARI YA MILLIONI 584

▶︎
WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

▶︎
LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

▶︎
TAARIFA KWA UMMA MRADI WA TABIA NCHI, WANANCHI WILAYA YA NGORONGORO; M/ KITI WA HALMASHAURI AKIELEZA

▶︎
MAKALA MAALUM YA MAPAMBANO DHIDI YA MALERIA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI JUNE 2026.

▶︎
MHE MBUNGE KANONI AKIHUTUBIA WANANCHI MADIBIRA

▶︎
DAKIKA TANO ZA ELIMU YA KILIMO CHA KISASA NA AFISA KILIMO WILAYA YA NGORONGORO

▶︎
CHUO CHA UWALIMU NGORONGORO KUTOA FURSA YA KIELIMU NA KIUCHUMI KWA WANANCHI-BRIGEDIA JENERALI SAKULO

▶︎
WAZAZI NGORONGORO WAHASWA KUJIANDA MAPEMA KUWAPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA JANUARI 2026.

▶︎
DC SAKULO ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATA SAMUNGE, MAALON NA LOLIONDO.

▶︎
What Happens After Moiben? We Had No Idea...| Kapcherop | The Highlands of Elgeyo Marakwet!

▶︎
تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام

▶︎
MHE MBUNGE KANONI AELEZA MAKUBWA ULUMI WAGUSWA

▶︎
MKUU WA MKOA TANGA AIPONGEZA KILINDI KWA KUPATA HATI SAFI

▶︎
VIKUNDI 44 NGORONGORO VYANUFAIKA NA MIKOPO INAYOTOLEWA NA HALMASHAURI

▶︎
RAS ARUSHA, DKT.NGUVILA AITAKA HALMASHAURI YA NGORONGORO KUANZISHA NJIA MBADALA UKUSANYAJI MAPATO.

▶︎
Heche Awatabiria Waliofanya Mauaji Oktoba 29 Kukutana na Yaliyomkumba Mnazi Hitler na Wafuasi Wake

▶︎
14 August 2025

▶︎
