UTATA WA MILIONI 50 ZA BSS,WALTER CHILAMBO AMJIBU NAY WA MITEGO

Kwa sasa anaimba Gospel baada ya kuacha mziki wa bongofleva.Kabla ya hapo aliibuka mshindi wa mashindano ya bss akipatiwa sh.milioni 50.hata hivyo maisha baada ya kupatiwa milioni hizo 50 yalifanya wengi kuhisi lilikuwa changa la macho.je?ni kweli?walter anajibu....