MTI WA RIZIKI {audio}MARIAMU HAMISI/T.O.T. TARAAB

Mti wa riziki upo kwa Mungu.Kazi nzuri na ya kipekee kabisa ambayo imeandaliwa chini director Thabit Abduli.Wimbo wenye bonge la ujumbe wenye kuelimisha na kufundisha,bila ya kumsahau mwimbaji Mariamu hamisi mwenyezi ampe kauli thabiti.Mshahiri anasema mtajuta kuniona nazidi kunawilika riziki yangu rabana mola kanipa hakika...............nipo shata shata...........sikwenda kwa babu mei ila ni riziki tu......niwaulizenyie......mnaoangaika kwa waganga kuzibia riziki watu...............mta lala hoi.Kiukweli ni ujumbe mzito mno kwa yule atakae zingatia haya.Mwenyezi mungu amuondole madhila ya kaburi Amin.