AJIRA ZA SERIKALI: KWA NINI ELIMU YA JUU HAIWEZI KUTUMIKA KUOMBA NAFASI ZA ELIMU YA CHINI?

Katibu Msaidizi - Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Zanzibar, Bw. Selemani Chihembe akitoa ufafanuzi juu ya sababu za kuzuiwa waombaji ajira wenye elimu ya juu kuomba nafasi za ajira zinazohitaji sifa za elimu ya chini.