Viongozi wa kidini wameshtumu madai ya kunyanyaswa kwa waumini wa dhehebu la mashahidi wa Yehova
Baadhi ya viongozi wa kidini wameshtumu madai ya kunyanyaswa kwa waumini wa dhehebu la mashahidi wa Yehova kwa misingi ya Imani yao nchini Eritrea wakitaja haua hiyo kuwa ukiukaji wa haki za kibinadamu. Kundi hilo limesema kuwa kuwabagua watu kwa misingi ya imani barani Afrika kunafaa kukomeshwa. Waumini wa dhehebu hilo humu nchini wamesema kuwa juhudi za kushinikiza kuachiliwa kwa wenzao wanaozuiliwa nchini Eritrea haijafauluWametoa wito kwa maafisa husika kuingilia kati suala hilo wakisema serikali ya Eretria iliwanyima mashahidi ya Yehova haki zao za kiraia na kisiasa mwaka 1994 baada yao kukaidi maagizo ya kushiriki katika uchaguzi na kuhuduma katika jeshi la nchi hiyo. Wanadai baadhi ya waumini hao wamekamatwa baada ya kuhudhuria mikutano ya kidini Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: / kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

WAFAHAMU MASHAHIDI WA YEHOVA BONGO, MITAZAMO NA IMANI #NIPE5 TBC

WAJUE MASHAHIDI WA JEHOVAH NCHINI/''TUNA MAJUMBA SIO MAKANISA''/UKIFA HUENDI POPOTE

CHAKULA NA KENGELE KWA MASHAHIDI WA YEHOVA.

Abahamya ba Yehova basaga 40.000 bo mu bihugu 20 bateraniye mu ihuriro ribereye bwa mbere i Kigali

MASHAHIDI WA JEHOVAH WARUDI TENA / WATAJA SABABU ZA KUTOKUKUTANA / FAMILIA ZATIZAMWA ZAIDI

Wasiwasi wa muungano wa dini ya Mashahidi wa Yehova Afrika kuhusu uvunjaji wa haki za binadamu

KWA NINI MASHAHIDI WA YEHOVA WANAKATAZA KUTOA DAMU NA KUWEKEWA DAMU?

Mix the chickpeas and eggs! I learned this trick in a fancy restaurant!

Hatua ya serikali ya kujumuisha madrasa kwenye mfumo wa elimu yapongezwa

Escaping modernity: a journey to the Mennonites

JUMBA LA UFALME LA MASHAHIDI WA YEHOVA LAZINDULIWA NA KUWEKWA WAKFU KOROGWE MKOANI TANGA

NANDI-NDAITWAH RETURNS FROM TANZANIA STATE VISIT - nbc

Taarifa kutoka Magatuzini kote nchini

The FULL VIDEO of Trump they didn’t want released

MASHAHIDI WA YEHOVA SIO KANISA LA YESU

MASHAHIDI WA JEHOVA WAKUTANA ARUSHA KWA SIKU 3 KWENYE KUSANYIKO KUBWA KUJIFUNZA HABARI NJEMA ZA YESU

A Deadly Encounter in the Wild: Guyana's Giant Anacondas | Wildlife Documentary

IEBC yapuuza madai kwamba itapendelea serikali kuhusiana na kesi inayohusisha mbunge wa Kipipiri

Moses Kuria Blasts Gachagua Over Rising Political Tensions in Mt. Kenya #gachagua #kalonzomusyoka

