MTOTO MBARONI KWA KUMUUA BABA YAKE MZAZI NA KUMFUKIA CHUMBANI
#HABARI: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha na kufichua tukio la mauaji ya Ramadhan Jafari (47), mkazi wa Mbezi Luguruni, ambaye awali aliripotiwa kupotea, taarifa zilizotolewa na ndugu zake mnamo Juni 16, 2026. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro,uchunguzi wa kina uliofanywa na Jeshi la Polisi ulibaini kuwa marehemu hakupotea, bali aliuawa na kuzikwa ndani ya chumba chake nyumbani kwake huku mtuhumiwa mkuu wa mauaji hayo akiwa ni mtoto wa marehemu mwenyewe, Juma Ramadhan (21). Hata hivyo, mtuhumiwa amekamatwa katika eneo la Msufini, Mkoa wa Pwani, na katika mahojiano amekiri kumuua baba yake na kumfukia ndani ya chumba hicho na Polisi wanaendelea na uchunguzi kubaini sababu hasa zilizompelekea kijana huyo kutenda ukatili huo. Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote anayehusika na vitendo vya uhalifu, likisisitiza kuwa watakamatwa na kufikishwa mahakamani huku wananchi wakiombwa kuendelea kutoa ushirikiano ili kudumisha usalama katika jamii. Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : http://bit.ly/itvtanzania Facebook : https://bit.ly/2KeQNl3 Twitter : https://bit.ly/2XG7aii Instagram : https://bit.ly/34KItmg

KAMANDA ABWAO ALIPELEKWA KUTIBIWA INDIA - AKAKAA SAWA GHAFLA AFYA IKABADILIKA - CHACHA ATOA RATIBA

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 23, 2026 - MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA YASABABISHA 37% YA VIFO

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

How Traore is Magically Growing Real Apples in Desert?

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

WAZIRI MKUU MGENI RASMI KATIKA MAONESHO NA MNADA WA MIFUGO BORA 2026

Gov. Okpebholo Arrests Alleged Kidnapping Kingpin in Uromi, Demolishes House

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA

Abiy Ahmed Extends Rule in Ethiopia as Insurgencies and Divisions Deepen | Firstpost Africa | N18G

HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA

Nigeria Welcomes 3,000 'Repentant' Ter*orists

🔴#LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO NA CHADEMA-KUHUSU KATIBA MPYA-TUME YA JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMAN

Magazeti ya leo Juni 24/2026 ijumatano/magazeti ya michezo leo asubuhi/jumatano/simba vs yanga

England vs. Ghana FIFA World Cup 2026 Highlights | Sportschau

LUKWAGO DENIED BAIL JUDGE FEARS CROWDS,OMUGAGGA ATTIDDWA, MIREMBE-NSAMBYA BITIISA

MBARAWA AFUNGYUKA MAKUBWA KUHUSU SGR

FBI ተፈላጊው ገዳይ በኬንያ ታያዘ! ለአሜሪካ ተላልፎ ተሰጠ

HABARI ZA MOTO M23 AKAMATWA KWENYE UWANJA WA VITA AMWAGA SIRI ZOTE NDANI 23/06/2026

CHIEF JUSTICE: INJUSTICE IS A CURSE AND ITS PENALTY IS DEATH | UPHOLD JUSTICE FOR THE OPPRESSED.

