PUTIN AIPA SIFA TANZANIA KATIKA ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI URUSI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandika historia kwa kuwa Rais wa kwanza wa Tanzania kufanya ziara ya kiserikali nchini Urusi baada ya zaidi ya miaka 50 tangu ziara ya Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1969, huku Rais wa Urusi Vladimir Putin akieleza kuwa hatua hiyo ni ishara ya kuimarika kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo mawili. Akimkaribisha Dkt. Samia nchini Urusi, Putin amesema mwaka huu Tanzania na Urusi zinatimiza miaka 65 ya uhusiano wa kidiplomasia, akibainisha kuwa uamuzi wa Tanzania kuichagua Urusi kuwa miongoni mwa mataifa ya kwanza kwa ziara ya kiserikali unaonesha dhamira ya dhati ya kuendeleza ushirikiano wa kihistoria uliopo. Kwa upande wake, Dkt. Samia amesema ziara hiyo ni ya kihistoria kwa Tanzania na inalenga kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika maeneo ya maendeleo, uchumi, biashara na ustawi wa wananchi. Amesema Tanzania inathamini urafiki na ushirikiano wake na Urusi na inaona ziara hiyo kama fursa muhimu ya kujadili mustakabali wa maendeleo ya mataifa hayo. Viongozi hao pia wameeleza dhamira ya kuendelea kushirikiana katika masuala ya kimataifa na kukuza ushirikiano wa kiuchumi, huku Dkt. Samia akitarajiwa kushiriki katika Jukwaa la Kimataifa la Uchumi la St. Petersburg na kupokea shahada ya heshima kutoka Chuo Kikuu cha Patrice Lumumba nchini humo.

'I Warn You - Don't Provoke Russia': Jeffrey Sachs ROARS At EU & US In European Parliament | VIRAL

HII HAPA MIKATABA YOTE 8 KATI YA RAIS PUTIN NA TANZANIA,BAADA YA ZIARA YA RAIS SAMIA URUSI.

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

US IRAN WAR LIVE | US Strikes Iran Again After Bahrain & Kuwait Missile Strikes

WAMEHAMA CHADEMA, WAMEFIKA CHAUMMA WAMEANZA KUVURUGANA | KIGAILA AFICHUA KUTOKUWA NAE TENA

Unity Club Meeting | Closing Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

LIVE : BUNGE LALIPUKA! KAULI ZA WAITARA | RAIS SAMIA ATUMBUA EWURA !

RAIS SAMIA AHUTUBIA MBELE YA PUTIN/MUSTAKABALI WA USHIRIKIANO WA UTALII KATI YA TANZANIA NA URUSI

USO kwa USO! RAIS SAMIA ALIVYOKUTANA na RAIS PUTIN wa URUSI - APOKEWA kwa HESHIMA ZOTE

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

RAIS SAMIA ASHUSHA NONDO NZITO,ASHINDWA KUJIZUIA''KUNA WENYE KICHEFUCHEFU''

🔴LIVE: Macron Welcomes Thailand's King Rama X for Dinner at the Élysée Palace | AC1C

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

HOTUBA NZITO ya RAIS SAMIA MBELE ya RAIS PUTIN NCHINI URUSI - PUTIN AMSIKILIZA kwa MAKINI...

Newala Mtwara Yalipuka Maandamano wafukuza Polisi wasumbufu Samia roho mkononi saba saba ikikaribia

HOTUBA ya RAIS SAMIA AKIWA URUSI - ATOA KAULI NZITO KUHUSU MUSTAKABALI wa TANZANIA na URUSI..

🔴 LIVE: KASWAHILI ANAFUNGUKA KUHUSU ZIARA YA RAIS SAMIA URUSI

HATMA YA MAHUSIANO YA MAREKANI NA TANZANIA BAADA YA ZIARA YA RAIS SAMIA URUSI KWA RAIS PUTIN.

"Aliniambia nitakuwa one term president," President Ruto explains why he fell out with Gachagua

