Mwanamuziki aliyevuma katika miaka ya nyuma Sukuma bin Ongaro | Wako Wapi

Na leo kwenye majira ya saa moja unusu katika ktn news utamtazama mwanamuziki aliyevuma katika miaka ya nyuma Sukuma bin Ongaro. Siku hizi anaimba nyimbo za injili na anajulikana kama ongaro digital. Mary kilobi atwoli alimhoji mzee huyo mwenye simulizi za kuvunja mbavu. SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos: https://www.youtube.com/ Follow us on Twitter:   / ktnnews   Like us on Facebook:   / ktnnewskenya   For more great content go to http://www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps: http://std.co.ke/apps/#android KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.