MLELE: HISTORIA ya 'INYONGA' KABLA ya MUUNGANO, MAFANIKIO/USHOGA IWE ni AJENDA ya MAADHIMISHO.
The Katavi Independent || Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi kuelekea maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26,2026, Jana Aprili 24,2023 imeanza maadhimisho hayo kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kufanya usafi katika kituo cha Afya Inyonga B, kuzindua vyumba 3 vya madarsa shule ya sekondari Inyonga, kufanya kongamano na michezo mbalimbali. Mazoezi hayo yote yameongozwa na Linkoln Tamba aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo Majid Mwanga, akiwa na viongozi wengine wakiwaongoza wananchi wa mji wa Inyonga waliojitokeza.

▶︎
MLELE: WANANCHI WATAPELIWA, WAUZIWA ENEO la SHULE "WAWEKWE NDANI"

▶︎
WILAYA YA MLELE

▶︎
LIJUE PORI LA AKIBA INYONGA LILILO KATIKA MIKOA YA TABORA NA KATAVI

▶︎
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA INYONGA MKOANI KATAVI

▶︎
USIYO YAJUA KUHUSU WILAYA YA MLELE KUONEKANA WIKI YA MWANAKATAVI

▶︎
🔴#LIVE: RAIS SAMIA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE WA MPANDA MKOANI KATAVI

▶︎
Life Inside little Asmara in Uganda, an Eritrean 🇪🇷 city away from Eritrea

▶︎
KIJIJI cha IVUNGWE WAOMBA ZAHANATI KUPUNGUZA VIFO vya WAJAWAZITO na WATOTO

▶︎
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI MKUTANO MKUU WA CCM JIMBO LA KATAVI.

▶︎
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA INYONGA MKOANI KATAVI

▶︎
🔴#Live: RAIS SAMIA ASIMAMA na KUWASALIMIA WANANCHI wa INYONGA MKOANI KATAVI - AFANYIWA SURPRISE...

▶︎
JUA TAREHE YAKO YA KUZALIWA NA MAANA YAKE

▶︎
Kumbe Sangara Wanapatikana Wilaya ya Tanganyika....?

▶︎
MKUU WA MKOA WA KATAVI AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI CHUO CHA VETA TANGANYIKA.

▶︎
Mbunge Jimbo la Katavi awalilia Vijana dhidi ya VVU// Mjini wanauliza Condom tofauti na pembezoni.

▶︎
RC MRINDOKO AKABIDHI BASI LA WATUMISHI HOSPITALI YA RUFAA KATAVI.

▶︎
WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA INYONGA-KATAVI

▶︎
MUHINDI APAGAWA NUSU AZIMIE KWA KITETE BAADA YA WAZIRI JAFO KUSHTUKIZA KIWANDA CHA CHUMA MWANZA

▶︎
RC KATAVI ATOA MAELEKEZO KWA JESHI LA UHAMIAJI MLELE/OFISI MPYA/LANGO LA KUINGIA KATAVI.

▶︎
