Jaji Warioba Atoa Somo, Aeleza Hofu Yake Kuelekea Uchaguzi, "Yasijekujirudia ya Zanzibar 2001"
Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu, Jaji Joseph Warioba amezitaka pande zote za kisiasa zinazosiagana kukaa chini kuzungumza ili kumaliza utofauti wao kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu 2025, na kusema kuwa amani ni muhimu sana na kuonya yasije yakajirudia yaliyotokea Zanzibar mwaka 2001 baada ya uchaguzi mkuu a 2000. Warioba ameyasema hayo wakati akitoa mada wakati wa Kongamano la hali ya demokrasia nchini lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia (TCD) katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Katika hatua n

▶︎
Mpina Aendelea Kushikilia Suala la Kupanda Bei za Mafuta, Ataka Uchunguzi Kufanyika Uagizaji Mafuta

▶︎
Pro: KABUDI anajua aise! hotuba yake konki akimzungumzia hayati Mwalimu Nyerere yashangaza wengi

▶︎
Nafasi ya bunge ni ipi kwenye utawala wa nchi? Mbunge Obadiah Barongo anatueleza zaidi. sms 22277

▶︎
KWANINI JOHN OKELLO ALITOWEKA BAADA YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR?

▶︎
#TBC: NYOTA WA WIKI NA JAJI JOSEPH WARIOBA NA MKEWE

▶︎
"VIONGOZI NA WANAHABARI ACHENI UCHAWA MNAUMIZA WANANCHI" JAJI WARIOBA

▶︎
🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

▶︎
Mwanzo Mwisho ACT Wazalendo Yaibua Makubwa Sheria ya Fedha 2026/27, Sakata la Uagizaji Mafuta

▶︎
Serikali Yapokea Gawio la Shilingi Trilioni 1.3

▶︎
Mikoba ya Demokrasia: Mizizi ya Jakaya Kikwete wa Tanzania

▶︎
Jaji Warioba: Nyufa bado zipo, akerwa na uchifu, ukabila na udini afunguka kuhusu wanasiasa

▶︎
''LOWASSA ALIPATA KEJELI na MATUSI'' - MZEE WARIOBA AFUNGUKA MAZITO MBELE ya JENEZA la LOWASSA...

▶︎
SPIKA AMUONYA CAG - "Una Dharau Sana, Umetuita Dhaifu"

▶︎
NYOTA WA WIKI NA JAJI JOSEPH WARIOBA SEHEMU YA PILI

▶︎
Serikali Yapiga Marufuku Mikutano ya Vyama, Yatoa Msimamo Kuhusu Maandamano, IGP Apewa Maagizo

▶︎
Deusdedith Soka: Haijalishi Watatutesa Kiasi Gani ni Lazima Tuipiganie Nchi Yetu

▶︎
🔴#Live: MZEE WARIOBA ATEMA NYONGO KILICHOTOKEA UCHAGUZI wa SERIKALI za MITAA - UHUSIKA wa POLISI...

▶︎
KAULI YA KWANZA, CAG ALIYEONDOKA - "SIJA PANIC, KICHERE NIMEMFUNDISHA"

▶︎
CAG PROF ASSAD AKIKABIDHI OFISI KWA CAG MPYA KICHERE

▶︎
