DAY 04: IMANI JUU YA UJAZO WA ROHO MTAKATIFU

Ni semina ya neno la mungu iliyofanyika katika kanisa la Moraviani IGURUSI | Semina hii ni kuhusu imani juu ya ujazo wa roho mtakatifu katika kuishi na kugundua vipawa ulipewa na bwana. 24/05/2026 - 30/05/2026 LIKE,SHARE,COMMENT,SUBSCRIBE ili ujumbe huu wa Neno la Mungu uwafikie watu wengi zaidi Mungu akubariki