DRC: AFC/M23 INA KATAA OMBI YAKU ONDOKA NAFASI INA ZIBITI, FARDC-WAZALENDO-FDLR YATIWA HOFU

KATIBU MKUU WA AFC/M23, BENJAMIN MBONIMPA, ANASEMA KUWA HARAKATI HII HAINA MPANGO WOWOTE WA KUJIONDOA KATIKA MAENEO INAYODHIBITI. ALISEMA WAKATI WA MKUTANO LUBERO KUWA FARDC HAINA UWEZO WA KIJESHI WA KUIONDOA AFC/M23 KATIKA MAENEO HAYO. WATU WANE WAMEUAWA NA WENGINE SITA KUJERUHIWA KATIKA MASHAMBULIZI YANAYODAIWA KUFANYIWA NA ADF HUKO MANGINA, KATIKA WILAYA YA BENI. MAJERUHI WAMEPELEKWA KATIKA VITUO VYA AFYA. 📢 À propos de KivuMorningPost KivuMorningPost est la source numéro un d'information en RDC Congo, spécialisée dans la couverture de l'actualité de l'Est du pays depuis Goma, au Nord-Kivu. Notre mission est claire : informer pour transformer. Nous publions des contenus fiables, exclusifs et locaux sur la politique, les conflits, l'économie, la société et la culture congolaise. 📍 Basé à Goma – Nord-Kivu | RDC Congo 🔎 Recherchez “KivuMorningPost” sur Google, YouTube, ou TikTok pour rester informé sur l’actualité en RDC. 🌐 Restez connectés avec nous : 📧 Email : [email protected] 🌍 Site Web : www.kivumorningpost.com 📺 YouTube : Chaîne KivuMorningPost 👍 Facebook : KivuMorningPost 🐦 Twitter (X) : @KivuMorningPost 📸 Instagram : @kivumorningpostofficial 🎵 TikTok : @kivumorningpost