THITIMA ANTHEM - KYMO & STIGAH (OFFICIAL VIDEO)

THITIMA ANTHEM LYRICS Kikikel tugoi Tich Makech kapilo Siku moja huko mbinguni Shetani leta nyokonyoko Anataka geuza Serikal Kumbe Sir Godi ako Rada Mungu piga Shetani Radi Nakwambia Shetani alishukishwa Pamoja na mapepo zake Akasikia kama prrrrrr Thitima Goliatho jitu limekula Sembe Daudi kijana kuchunga Mbus Si siku moja bas wakapatana Unadhani Goliatho atabonda Daudi Goliatho kujia Daudi Daudi kuchukua Jiwe (jiwe) Chapa Goliatho nayo Kichwa Goliatho kasikia kama Prrrrr Thitima      Chesa ni kaa umepigwa radi Thitima ×2 O      Uuuuuu ni Thitima, Ikibamba sana      Sema Thitima ×2 Keit verse Musa kagawanisha Maji Waisiraeli Wakapita Katitikati (Katikati) Si Farao Akawafuata nyuma Akidhani Atawashika Eish Si Mungu ni waajabu, Alingoja tu waisiraeli wapite (eish) Walipomaliza kupita! Farao Aliskia kama prrrrrr Thitima! Kumbuka Sodoma Gomora venye Ilikuwa Imejaa Dhambi (Wachana na Dhambi) Si Mungu Kawambia Tubu (tubu!) Si Wakadhani ni mchezo (Mcheso) Mungu Katumania Loti Kamwambia Atoke huko upes!( Haki yawa!) Hata hakua Amefika mbali Sodom Gomora Waliskia kama letterforms!