MIAKA 3 YA SAMIA: NCHI IMEFUNGUKA

Katika kuadhimisha miaka mitatu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Daily News Digital inaangazia juhudi za serikali kuifungua nchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikihusisha ujenzi wa miundombinu mipya lakini pia miradi ya ukarabati na uboreshaji wa miundombinu iliyopo lengo ni kuifungua zaidi Tanzania, kubadili taswira ya nchi na kurahisisha maisha ya wananchi. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09