RAS MKOA wa ARUSHA AJIBU ALIPO RC MAKONDA - AFYA YAKE kwa MARA ya KWANZA KUPITIA GLOBAL TV....
RAS MKOA wa ARUSHA AJIBU ALIPO RC MAKONDA - AFYA YAKE kwa MARA ya KWANZA KUPITIA GLOBAL TV.... Ni wiki mbili zimepita tangu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, RC Paul Makonda hajaonekana hadharani katika shughuli zake kama Mkuu wa Mkoa. Makonda anajulikana ni Mkuu wa Mkoa machachari asiyeishiwa mipango mikubwa ya kuwatumikia wananchi kwa nafasi aliyopewa na Rais Samia Suluhu ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha; siyo mtu wa kukaaa kimya muda wote huo. Mara ya mwisho alionekana hadharani tarehe 13 na 14 ya Julai mwaka huu kwenye shindano lake la kuendesha pikipiki katika Viwanja vya Laki Laki- Kisongo jijini Arusha. GLOBAL TV imezungumza na Katibu Tawala Mkoa wa Mkoa wa Arusha RAS Missile Mussa ambaye yeye ni msimamizi wa shughuli zote za mkoa kuhusu alipo RC Makonda na hali yake ya kiafya kwa sasa...FUATILIA ZAIDI GLOBAL TV... CREDIT: @Korumba_Lebabazi Jishindie Zawadi na Global TV Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV 👉🔥👉https://forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7 ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"

MAJIBU ya QUEEN MASANJA KUHUSU DOKTA MWAKA - MPENZI MPYA - WEMA KUPATA MTOTO...

"Tusileteane Ujinga Ujinga hapa, Kuanzia leo wewe sio Mkuu wa Idara" MAKONDA amtumbua Mkuu wa Idara

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

HECHE HASHIKIKI MBEYA, APAGAWISHWA NA NYONI LA WATU, AIKAANGA CCM BILA HURUMA, AWAPA ZA USO POLISI

LIVE🔴PRESS CONFERENCE AT ACT WAZALENDO VUGA OFFICE NOW: PARTY ATTORNEY GENERAL SPEAKING #OSS

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA

MAKONDA AMPIGIA MAGOTI MABEYO, BASHE AMNONG'ONEZA MAKONDA

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

MAKONDA AKASIRIKA na KUVUNJA MKUTANO! INJINIA APATA UGONJWA wa MOYO KISA MADENI na ANAIDAI SERIKALI

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

MAPYA! MTOTO ALIYEMUUA BABA - PIA ALIMUUA BABU KWA KUMNYWESHA SUMU ya PANYA KWENYE JUICE...

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

KILIMO AJIRA YANGU, UFUGAJI WA SAMAKI MKURANGA SEHEMU YA PILI 24.02.2018

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!

DR CHENI AFUNGUKA ALIVYOSHEREHESHA HARUSI YA MTOTO WA RAIS, PESA ALIZOLIPWA, ULINZI N.K

UTAJIRI wa KUTUPWA wa WAZIRI WAIBUA MASWALI, ANAMILIKI MAGARI, NYUMBA ZA MABILIONI

