MFUMO WA KIDIGITALI KUENDESHA LIGI KUU MSIMU UJAO

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TTF), Wallace Karia, amesema wamezindua mfumo mpya wa usimamizi wa ligi utakaotumika kupanga ratiba, kufuatilia takwimu na kuratibu waamuzi kwa lengo la kuongeza ufanisi na kupunguza malalamiko yaliyokuwa yakijitokeza katika uendeshaji wa mashindano. Amesema mfumo huo utakuwa ukifanyiwa maboresho mara kwa mara ili kuendana na mahitaji ya ligi na wadau wa soka nchini. Karia amesema mfumo huo utasaidia kufuatilia mwenendo wa waamuzi na kuondoa malalamiko ya mara kwa mara kuhusu waamuzi kufuatana na timu fulani, huku akiwataka viongozi na makocha kuacha hoja za uchovu wa wachezaji kutokana na kuruhusiwa kusajili hadi wachezaji 40. Amesema ratiba rasmi ya Ligi Kuu itatangazwa kabla ya Julai 20 baada ya kukamilika kwa maboresho ya mwisho ya mfumo huo. Kwa mujibu wa Karia, mchezo wa Ngao ya Jamii utachezwa Agosti 12, 2026, huku Ligi Kuu ikitarajiwa kuanza Agosti 14, 2026 na kumalizika Mei 16, 2027 ili kutoa nafasi kwa maandalizi na ushiriki wa mashindano ya AFCON 2027. Video na Peter Allan

🔴LIVE: KAZUNGU ASESENGUYE UMWATAKA MUSHYA WA RAYON SPORTS JUNIOR KAMENI || RAYON SPORTS IRAKOMEYE
▶︎

🔴LIVE: KAZUNGU ASESENGUYE UMWATAKA MUSHYA WA RAYON SPORTS JUNIOR KAMENI || RAYON SPORTS IRAKOMEYE

Hee!! MIRAJI Achafukwa Kocha YANGA Watu Wamepokea Jina Sio Ubora😂 | Vita Vs Barker | FIFA World Cup
▶︎

Hee!! MIRAJI Achafukwa Kocha YANGA Watu Wamepokea Jina Sio Ubora😂 | Vita Vs Barker | FIFA World Cup

KESI SASA IMEFIKA KUBAYA KUHUSU SAMIA NA LISSU HUU NDIO UKWELI WAKE
▶︎

KESI SASA IMEFIKA KUBAYA KUHUSU SAMIA NA LISSU HUU NDIO UKWELI WAKE

TALANTA STADIUM LATEST Construction updates | Kenya's Mega AFCON Stadium Takes Shape!
▶︎

TALANTA STADIUM LATEST Construction updates | Kenya's Mega AFCON Stadium Takes Shape!

MAPYA YAIBUKA MADELEKA, AJIBU MAPIGO YA UWANAHARAKATI KUWA MAGAIDI/ATOA MIFANO MIZITO
▶︎

MAPYA YAIBUKA MADELEKA, AJIBU MAPIGO YA UWANAHARAKATI KUWA MAGAIDI/ATOA MIFANO MIZITO

SIMBA ITAWAACHA WACHEZAJI HAWA, USIZIAMINI YANGA NA SIMBA WANABADILIKA SANA
▶︎

SIMBA ITAWAACHA WACHEZAJI HAWA, USIZIAMINI YANGA NA SIMBA WANABADILIKA SANA

The Most Important Country in Africa You’ve Never Heard Of (Djibouti 🇩🇯)
▶︎

The Most Important Country in Africa You’ve Never Heard Of (Djibouti 🇩🇯)

DAZ NUNDAZ AWAPAGAWISHA WATU NA WIMBO WA 'UMBO NAMBA NANE' KWENYE MIAKA 30 YA BONGO FLEVA
▶︎

DAZ NUNDAZ AWAPAGAWISHA WATU NA WIMBO WA 'UMBO NAMBA NANE' KWENYE MIAKA 30 YA BONGO FLEVA

Incredible Safari Moments Caught on Camera
▶︎

Incredible Safari Moments Caught on Camera

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

AHMED ALLY APAGAWA NA USAJILI MPYA WA SIMBA BAHARI KUPASUKA
▶︎

AHMED ALLY APAGAWA NA USAJILI MPYA WA SIMBA BAHARI KUPASUKA

HAWAKUJUWA KAMA HAYA YANGETOKEA KWENYE SHEREHE SAMIA KUTOWA AMRI NZITO
▶︎

HAWAKUJUWA KAMA HAYA YANGETOKEA KWENYE SHEREHE SAMIA KUTOWA AMRI NZITO

UCHAMBUZI MKALABOKO | KOCHA MANQOBA YANGA NI KISINIA | AMESAJILIWA WINGA PENDWA
▶︎

UCHAMBUZI MKALABOKO | KOCHA MANQOBA YANGA NI KISINIA | AMESAJILIWA WINGA PENDWA

JAYRUTY: ATHIBITISHA NIMEMSAJILI FEI TOTO ATAVAA JEZI NAMBA 6
▶︎

JAYRUTY: ATHIBITISHA NIMEMSAJILI FEI TOTO ATAVAA JEZI NAMBA 6

KATAMBI AMELIFANYA BUNGE KIJIWE CHA SERIKALI, MAPYA YA IBUKA ACT,....
▶︎

KATAMBI AMELIFANYA BUNGE KIJIWE CHA SERIKALI, MAPYA YA IBUKA ACT,....

MURO:KUMEANZA KUNOGA SIMBA YAMSHUSHA JABAAR
▶︎

MURO:KUMEANZA KUNOGA SIMBA YAMSHUSHA JABAAR

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #72
▶︎

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #72

DOSSA AFUNGUKA ZA NDANI/ FEISAL KUTUA SIMBA ''MKATABA MIAKA MIWILI YANGA TUTAKOMA ''TUACHE MDOMO TUS
▶︎

DOSSA AFUNGUKA ZA NDANI/ FEISAL KUTUA SIMBA ''MKATABA MIAKA MIWILI YANGA TUTAKOMA ''TUACHE MDOMO TUS

MANGUMGU AWAOMBA MSAMAHA YANGA KISA KUJISAIDIA /ATOA KAULI NZITO KWA AHMED ALLY KWA KAULI ZAKE
▶︎

MANGUMGU AWAOMBA MSAMAHA YANGA KISA KUJISAIDIA /ATOA KAULI NZITO KWA AHMED ALLY KWA KAULI ZAKE

MBAYAHAGA ivyinyegeje kwifatwa rya MINEMBWE na M23//Amanyanga ya Gnl RWIVANGA,BISIMWA na KANYIKI
▶︎

MBAYAHAGA ivyinyegeje kwifatwa rya MINEMBWE na M23//Amanyanga ya Gnl RWIVANGA,BISIMWA na KANYIKI