MICHEZO MEI MOSI DODOMA; MZINGA NETBALL YAICHAKAZA NSSF

Timu ya Mpira wa Pete (Netball) ya Shirika la Mzinga Morogoro leo imeondoka na ushindi mnono baada ya kuichakaza bila huruma timu ya Mpira wa Pete (Netball) ya NSSF katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Jamhuri Dodoma katika Michezo ya Mei Mosi inayoendelea Jijini humo.