Kinara wa DCP Rigathi Gachagua adai njama za kuvuruga uchaguzi wa Ol Kalou
Haya yakijiri, Kinara wa DCP Rigathi Gachagua, sasa anadai kuwa kuna njama ya serikali kuwatumia maafisa wa polisi, kuvuruga uchaguzi mdogo wa Olkalou. Akizungumza Nyumbani kwake Wamunyoro huko Nyeri, Gachagua anadai kuwa serikali inafanya juhudi kwa hali na mali kumhakikishia mgombea wa chama cha UDA ushindi. Aidha anadai kuwa maafisa wanaopangwa kutumika ni wale wasiovaa sare rasmi. Aidha, Naibu Kinara wa Jubilee Fred Matiang’i ameifokea tume ya Uchaguzi IEBC kwa kile alichotaja ni kushindwa kudhibiti matukio kwenye Kampeni za Olkalou,

▶︎
DCP campaign truck ambushed by hooded, armed men in Chokereria area, Gilgil ahead of Ol Kalou by ele

▶︎
Gachagua kukutana na Uhuru Kenyatta baada ya vikao vya Wamunyoro

▶︎
Kampeni za Ol Kalou zakumbwa na vurugu eneo Gilgil kupitia kundi la wahuni

▶︎
Polisi wachunguza video ya dereva wa gari la kibinafsi akisukuma gari dogo la teksi

▶︎
Cracks deepen inside Linda Mwananchi: A passing cloud masked as a genuine political cause?

▶︎
How Japan Built the Impossible 400 km Great Wall that You've Never Heard Of

▶︎
Three injured in Ol Kalou campaign clashes

▶︎
Gachagua hints at major political announcement after planned talks with Uhuru Kenyatta

▶︎
Je, ni nini kitaamua kinyang’anyiro cha ugavana Kakamega? Ushawishi wa Wycliffe Oparanya?

▶︎
Finally Gachagua reveals united opposition 2027 presidential candidate. 'SIO KALONZO!'

▶︎
TOTAL DRAMA AS IRUNGU KANGATA IGNORES GACHAGUA AND PROCEEDS TO OLKALAU!

▶︎
NO MORE HIDING! RIGATHI EXPOSES THE EVIL PLAN OF BETTY MAINA AND ERIC WAMUMBI IN OLKALAU!

▶︎
Mpasuko na vita vya maslahi ya kisiasa vyaripotiwa ndani ya Linda Mwananchi

▶︎
"I Can Never Support Him!" — Jimmy Wanjigi FIRES at Gachagua: "He Thrives on Personality Politics!"

▶︎
Gachagua alleges Ruto is behind IEBC push to postpone Ol Kalou poll

▶︎
CITIZEN NIPASHE WIKENDI ~ JULY 11, 2026

▶︎
BREAKING NEWS: Chaos Erupts as Martha Karua's Car Is Damaged at Gatoto Primary School!!

▶︎
Ol Kalou campaigns hit fever pitch as voter bribery claims spark by-election row

▶︎
Gachagua BLOCKS Sifuna and Kangata from entering Ol Kalou |Plug Tv Kenya

▶︎
